Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usugu wa vimelea vya Malaria kutafitiwa

wanasayansi wanatafiti namna vimelea vya ugonjwa wa malaria jinsi vinavyoendelea kuwa sugu kwa dawa zilizokuwa zinatibu ugonjwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MALARIA: Vimelea sugu kwa dawa ya Mseto vyaibuka

>Taarifa za hivi karibuni za kitafiti kutoka Shirika la Aya Duniani (WHO) zinasema baadhi ya nchi katika Bara la Asia zimeripoti kuwapo kwa usugu  wa vimelea vya malaria dhidi ya kiambata kikuu kinachotumika katika kutengeneza dawa mseto aina zote, zikiwamo zinazotumika Tanzania. Usugu huo kwa mujibu wa ripoti ya WHO umeonekana  kwa vimelea vya malaria aina ya Plasmodium falcipuram. Hiki ndicho kimelea kinachoongoza kwa kusababisha malaria duniani.

 

11 years ago

Mwananchi

Tujitahidi Alu isiwe sugu kwa vimelea wa malaria

Mwishoni mwa mwaka jana taarifa za Shirika la Afya Duniani (WHO) zilionyesha kuwa Tanzania imefanikiwa kupunguza vifo vya watoto walio na umri chini ya miaka mitano, vinavyotokana na ugonjwa wa malaria.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Trump 'anajiuliza ni kwanini ' watu wanapiga simu sana kuulizia ufanisi wa kemikali za kuua vimelea

Rais anasema kuwa hawajibiki kabisa na kuongezeka kwa sana kwa idadi ya simu zinaripotiwa kupigwa na watu kwa vituo vya dharura juu ya kemikali za kuua vimelea wa magonjwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Usugu wa dawa ni hatari kuliko Ukimwi

>Umejikata kwa bati mguuni, lakini unaonekana kutojali ukijua kuwa  ni jeraha dogo tu ambalo huhitaji matibabu rasmi ili upone.

 

10 years ago

Mwananchi

UANDIKISHWAJI: Usugu wa vidole kwa BVR watatuliwa

>Tatizo la watu wenye vidole sugu ambao awali vilishindwa kusomwa na mashine zinazotumika kuandikisha wapigakura za Biometrick Voters Registration (BVR) limepatiwa ufumbuzi na wataalamu wa mashine hizo walioambatana na tume katika mji huu kwa ajili ya kazi hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vipimo vipya vya Malaria TZ

Tanzania kutumia Kipimo kipya cha kugundua vimelea vya Malaria kwa haraka kijulikanacho kama MRDT

 

11 years ago

BBCSwahili

Vijidudu vya Malaria vyagundulika, Asia

Watafiti wametoa tahadhari kunduliwa kwa vijidudu vipy vya malaria visivyoweza kuuawa kwa dawa vimetapakaa katika Asian

 

11 years ago

Mwananchi

Viyoyozi vya kuua mbu: mwarobaini wa malaria nchini

Malaria ni miongoni mwa magonjwa sugu ambayo yamekuwa yakichangia vifo vya Watanzania wengi hususan watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani