MALARIA: Vimelea sugu kwa dawa ya Mseto vyaibuka
>Taarifa za hivi karibuni za kitafiti kutoka Shirika la Aya Duniani (WHO) zinasema baadhi ya nchi katika Bara la Asia zimeripoti kuwapo kwa usugu wa vimelea vya malaria dhidi ya kiambata kikuu kinachotumika katika kutengeneza dawa mseto aina zote, zikiwamo zinazotumika Tanzania. Usugu huo kwa mujibu wa ripoti ya WHO umeonekana kwa vimelea vya malaria aina ya Plasmodium falcipuram. Hiki ndicho kimelea kinachoongoza kwa kusababisha malaria duniani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Tujitahidi Alu isiwe sugu kwa vimelea wa malaria
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Usugu wa vimelea vya Malaria kutafitiwa
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kifua kikuu ambayo ni sugu kwa dawa
11 years ago
KwanzaJamii26 Apr
Dawa feki za malaria marufuku
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
MSD: Tuna dawa za malaria za kutosha
PAMOJA na kuwepo malalamiko ya kukosekana kwa dawa za malaria katika hospitali mbalimbali nchini, Bohari ya Dawa (MSD), imesema ina dawa hizo za kutosha. Akizungumza na Tanzania Daima katika maadhimisho...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Dawa ya malaria yatumika kurembesha nywele
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Muundo mpya wa dawa ya malaria wazinduliwa nchini
10 years ago
Habarileo02 Aug
Vituko vyaibuka kura za maoni
KURA za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimefanyika kwa utulivu katika maeneo mengi nchini, huku baadhi ya maeneo kukiibuka hitilafu zilizosababisha baadhi ya wanachama kulala mahabusu.
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: Je dawa za malaria zinaweza kutibu corona pia