Dawa feki za malaria marufuku
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amesema maduka ya dawa yatakayobainika kuuza dawa za malaria zilizokwisha muda yatafungiwa na kunyang’anywa leseni ya biashara. Akizungumza katika mkutano wa kujadili malaria na mikakati yake uliofanyika katika maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, Dk Rashid alisema uuzaji wa dawa zilizokwisha muda na zilizopigwa marufuku kama tiba ya malaria, ndicho chanzo cha kuzorota kwa vita dhidi ya ugonjwa huo. “Mmiliki wa duka ambaye kwa kawaida ni...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Wakulima walalama kuuziwa dawa feki
WAKULIMA kutoka maeneo ya Mbinga, Mpanda, Kigoma na Bukoba wameilalamikia Wizara ya Kilimo na Chakula kwa kuwaruhusu baadhi ya wafanyabiashara kuuza dawa feki za kilimo. Wakizungumza na waandishi wa habari...
11 years ago
Habarileo16 May
Mbunge ahoji udhibiti wa dawa feki
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua za kisheria kwa wafanyabiashara na kampuni ambazo zimekuwa zikiingiza dawa bandia za binadamu. Alitoa kauli hiyo bungeni leo wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kilwa Kaskazini Murtaza Mangungu (CCM).
11 years ago
GPLWAKULIMA WATESWA NA USAMBAZAJI DAWA FEKI ZA KILIMO
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Dawa ya malaria yatumika kurembesha nywele
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
MSD: Tuna dawa za malaria za kutosha
PAMOJA na kuwepo malalamiko ya kukosekana kwa dawa za malaria katika hospitali mbalimbali nchini, Bohari ya Dawa (MSD), imesema ina dawa hizo za kutosha. Akizungumza na Tanzania Daima katika maadhimisho...
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Vilio mazishi ya aliyeuziwa dawa feki Ocean Road
9 years ago
Mwananchi22 Nov
Muundo mpya wa dawa ya malaria wazinduliwa nchini
10 years ago
Mwananchi29 Aug
MALARIA: Vimelea sugu kwa dawa ya Mseto vyaibuka