Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawa feki za malaria marufuku

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amesema  maduka ya dawa yatakayobainika kuuza dawa za malaria zilizokwisha muda yatafungiwa na kunyang’anywa leseni ya biashara. Akizungumza katika mkutano wa kujadili malaria na mikakati yake uliofanyika katika maadhimisho ya Siku ya Malaria Duniani, Dk Rashid alisema uuzaji wa dawa zilizokwisha muda  na zilizopigwa marufuku kama tiba ya malaria, ndicho chanzo cha kuzorota kwa vita dhidi ya ugonjwa huo. “Mmiliki wa duka ambaye kwa kawaida ni...

KwanzaJamii

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima walalama kuuziwa dawa feki

WAKULIMA kutoka maeneo ya Mbinga, Mpanda, Kigoma na Bukoba wameilalamikia Wizara ya Kilimo na Chakula kwa kuwaruhusu baadhi ya wafanyabiashara kuuza dawa feki za kilimo. Wakizungumza na waandishi wa habari...

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge ahoji udhibiti wa dawa feki

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua za kisheria kwa wafanyabiashara na kampuni ambazo zimekuwa zikiingiza dawa bandia za binadamu. Alitoa kauli hiyo bungeni leo wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kilwa Kaskazini Murtaza Mangungu (CCM).

 

11 years ago

GPL

WAKULIMA WATESWA NA USAMBAZAJI DAWA FEKI ZA KILIMO

Baadhi ya dawa zinazodaiwa kuwa feki. *WAIOMBA SERIKALI KUWADHIBITI WACHAKACHUAJI Na Mwandishi Wetu
TANGU kuanzishwa kwa kauli mbiu ya kilimo kwanza, kumekuwa na juhudi kubwa zinazofanywa na serikali kuhakikisha wakulima wanaingia kwenye kilimo cha kisasa. Juhudi hizo zimetiliwa nguvu zaidi katika kuimarisha upatikanaji wa pembejeo za kilimo ili kuwafanya wakulima kuzitumia na kuimarisha kilimo chao. Pamoja na juhudiz hizo za...

 

11 years ago

Mwananchi

Dawa ya malaria yatumika kurembesha nywele

>Tabia ya kutumia vitu vyenye kemikali bila ya ushauri wa kitaalamu imeendelea kujijenga miongoni mwa Watanzania, ambapo sasa dawa ya malaria aina ya Metakelfin  inatumika kutengeneza kipodozi cha kurembesha nywele.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MSD: Tuna dawa za malaria za kutosha

PAMOJA na kuwepo malalamiko ya kukosekana kwa dawa za malaria katika hospitali mbalimbali nchini, Bohari ya Dawa (MSD), imesema ina dawa hizo za kutosha. Akizungumza na Tanzania Daima katika maadhimisho...

 

11 years ago

Mwananchi

Vilio mazishi ya aliyeuziwa dawa feki Ocean Road

Historia ya ugonjwa uliosababisha kifo cha Pendo Shayo, ambaye anadaiwa kuuziwa dawa feki na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya Saratani ya Ocean Road (ORCI), ilisababisha vilio na majonzi wakati wa maziko yake jana.

 

9 years ago

Mwananchi

Muundo mpya wa dawa ya malaria wazinduliwa nchini

Wagonjwa wa Malaria sasa watatumia vidonge 6  badala ya 24 kwa dozi nzima ikiwa ni sawa na asilimia 75 ya punguzo la mzigo wa vidonge, iwapo watatumia dawa aina ya coartem.

 

10 years ago

Mwananchi

MALARIA: Vimelea sugu kwa dawa ya Mseto vyaibuka

>Taarifa za hivi karibuni za kitafiti kutoka Shirika la Aya Duniani (WHO) zinasema baadhi ya nchi katika Bara la Asia zimeripoti kuwapo kwa usugu  wa vimelea vya malaria dhidi ya kiambata kikuu kinachotumika katika kutengeneza dawa mseto aina zote, zikiwamo zinazotumika Tanzania. Usugu huo kwa mujibu wa ripoti ya WHO umeonekana  kwa vimelea vya malaria aina ya Plasmodium falcipuram. Hiki ndicho kimelea kinachoongoza kwa kusababisha malaria duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani