Vilio mazishi ya aliyeuziwa dawa feki Ocean Road
Historia ya ugonjwa uliosababisha kifo cha Pendo Shayo, ambaye anadaiwa kuuziwa dawa feki na baadhi ya watumishi wa Hospitali ya Saratani ya Ocean Road (ORCI), ilisababisha vilio na majonzi wakati wa maziko yake jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zs7KdFGDCC8/VnA68NnOn7I/AAAAAAAIMo0/uccYfCINMuI/s72-c/02.jpg)
Kutoka Ocean Road hadi Muhimbili kuagwa sabuni za kuogea za kufulia, miswaki na dawa za meno kwa watoto wenye matatizo ya kansa waliolazwa hapo na wazazi .
10 years ago
Habarileo03 Mar
Vilio, simanzi mazishi ya Komba
RAIS Jakaya Kikwete jana ameongoza mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waliojitokeza kuaga mwili wa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba aliyefariki Jumamosi jioni katika Hospitali ya TMJ ikielezwa kuwa kaondoka kama moto wa kiberiti.
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Ni simanzi na vilio mazishi ya wanafamilia sita Dar
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Hali inatisha Ocean Road
11 years ago
Mwananchi13 May
Kashfa Hospitali ya Ocean Road
9 years ago
Habarileo24 Dec
Vigogo wa Ocean Road, DART wasimamishwa
MAWAZIRI wawili jana ‘walitumbua majipu’ baada ya kutangaza kusimamishwa kazi kwa Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART), Asteria Mlambo na Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk Diwani Msemo, wote wakipisha uchunguzi dhidi yao.
9 years ago
Habarileo11 Oct
Wanaowahi Ocean Road hupona saratani
SERIKALI imesema kuwa asilimia 20 ya wagonjwa wa saratani, wanaofika mapema katika Taasisi ya Ocean Road, wanatibiwa na kupona.
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Panga la vigogo lahamia Ocean Road
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Kansa ya kizazi yaongoza Ocean Road
IMEELEZWA kuwa kansa ya shingo ya kizazi ndiyo inayoongoza kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa katika Hospitali ya Ocean Road, Dar es Salaam. Mganga wa wagonjwa hao, Dk. Harison Chuwa,...