Panga la vigogo lahamia Ocean Road
Timuatimua ya watendaji wakuu wa mashirika na taasisi za umma imeendelea jana baada Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kumsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk Diwani Msemo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo24 Dec
Vigogo wa Ocean Road, DART wasimamishwa
MAWAZIRI wawili jana ‘walitumbua majipu’ baada ya kutangaza kusimamishwa kazi kwa Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART), Asteria Mlambo na Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk Diwani Msemo, wote wakipisha uchunguzi dhidi yao.
11 years ago
Mwananchi13 May
Kashfa Hospitali ya Ocean Road
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Hali inatisha Ocean Road
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Kansa ya kizazi yaongoza Ocean Road
IMEELEZWA kuwa kansa ya shingo ya kizazi ndiyo inayoongoza kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa katika Hospitali ya Ocean Road, Dar es Salaam. Mganga wa wagonjwa hao, Dk. Harison Chuwa,...
9 years ago
Habarileo11 Oct
Wanaowahi Ocean Road hupona saratani
SERIKALI imesema kuwa asilimia 20 ya wagonjwa wa saratani, wanaofika mapema katika Taasisi ya Ocean Road, wanatibiwa na kupona.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Wafanyakazi Airtel watoa msaada Ocean Road
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia Umoja wa Wanawake ujulikanao kama ‘Airtel Divas’ umetoa msaada wa vifaa vya hospitali kwa ajili ya wagonjwa wanaosumbuliwa na magonjwa ya...
11 years ago
Mwananchi27 May
‘Ocean Road wamenisusa, nahamia tiba za jadi’
11 years ago
Habarileo27 May
Mashine za Ocean Road kutengenezwa wiki hii
MAFUNDI na vifaa kutoka nchini Canada kwa ajili ya kutengeneza ya mashine mbili za mionzi zilizoharibika katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, watawasili nchini wakati wowote na matengenezo hayo yatagharimu Sh milioni 740.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1-21.jpg?width=650)
WATUMIAJI INSTAGRAM WASAIDIA WAGONJWA OCEAN ROAD