WAKULIMA WATESWA NA USAMBAZAJI DAWA FEKI ZA KILIMO
Baadhi ya dawa zinazodaiwa kuwa feki. *WAIOMBA SERIKALI KUWADHIBITI WACHAKACHUAJI Na Mwandishi Wetu TANGU kuanzishwa kwa kauli mbiu ya kilimo kwanza, kumekuwa na juhudi kubwa zinazofanywa na serikali kuhakikisha wakulima wanaingia kwenye kilimo cha kisasa. Juhudi hizo zimetiliwa nguvu zaidi katika kuimarisha upatikanaji wa pembejeo za kilimo ili kuwafanya wakulima kuzitumia na kuimarisha kilimo chao. Pamoja na juhudiz hizo za...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Wakulima walalama kuuziwa dawa feki
WAKULIMA kutoka maeneo ya Mbinga, Mpanda, Kigoma na Bukoba wameilalamikia Wizara ya Kilimo na Chakula kwa kuwaruhusu baadhi ya wafanyabiashara kuuza dawa feki za kilimo. Wakizungumza na waandishi wa habari...
11 years ago
Michuzi10 Feb
news alert: watano wapanda kizimbani kwa mashtaka ya usambazaji wa Dawa feki za kurefusha maisha kwa waathirika wa Ukimwi
11 years ago
Mwananchi25 May
Usambazaji wa sukari Mbeya wamkera Waziri wa Kilimo
10 years ago
VijimamboWARSHA YA MFUMO MPYA WA KIELECTRONIKI WA USAMBAZAJI WA DAWA WAFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2EJzxqIHIw/VUJJ3fXBTSI/AAAAAAAHUXI/Mw2WowbpzMA/s72-c/01.jpeg)
WARSHA YA MFUMO MPYA WA USAMBAZAJI DAWA ZANZIBAR (eLMIS) KWA WAKURUGENZI NA MAAFISA WA WIZARA YA AFYA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2EJzxqIHIw/VUJJ3fXBTSI/AAAAAAAHUXI/Mw2WowbpzMA/s1600/01.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YnaZ9ZIZmjc/VUJJvSYcnzI/AAAAAAAHUW4/U9TVnnfw-FY/s1600/02.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nQ7TqecStzw/VUJJ2DI_46I/AAAAAAAHUXA/gJmgcdCqmVQ/s1600/03.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GOkTIUjI3Po/VUJJ7HcD_ZI/AAAAAAAHUXQ/ay-rg7fWyOc/s1600/04.jpeg)
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Mbegu feki za mahindi zawaliza wakulima Hai
WAKATI msimu wa mwaka huu wa kilimo mkoani Kilimanjaro ukionekana kuwa na neema ya mvua za kutosha, Wilaya ya Hai imekuwa tofauti kutokana na baadhi ya wakulima kuuziwa mbegu feki...
11 years ago
KwanzaJamii26 Apr
Dawa feki za malaria marufuku