WARSHA YA MFUMO MPYA WA KIELECTRONIKI WA USAMBAZAJI WA DAWA WAFANYIKA ZANZIBAR
Mkurugenzi wa Bohari kuu ya dawa Zanzibar Zahran Ali Hamad akitoa maelezo na kuwakaribisha washiriki wa warsha ya usambazaji dawa kwa njia ya kielectroniki iliyofanyika Park Hyatt Hotel Shangani mjini Zanzibar.
Mfamasia mkuu Zanzibar Habib Ali Shariff akitoa maelezo kuhusu mfumo huo mpya wa kielectroniki ulivyoanza kufanyakazi Zanzibar.
Waziri wa Afya Zanzibar Rashid Seif ambae alikuwa Mwenyekiti wa warsha hiyo akitoa muongozo kwa washiriki
Mkurugenzi Usimamizi wa Mifumo ya kielectroniki...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2EJzxqIHIw/VUJJ3fXBTSI/AAAAAAAHUXI/Mw2WowbpzMA/s72-c/01.jpeg)
WARSHA YA MFUMO MPYA WA USAMBAZAJI DAWA ZANZIBAR (eLMIS) KWA WAKURUGENZI NA MAAFISA WA WIZARA YA AFYA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q2EJzxqIHIw/VUJJ3fXBTSI/AAAAAAAHUXI/Mw2WowbpzMA/s1600/01.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YnaZ9ZIZmjc/VUJJvSYcnzI/AAAAAAAHUW4/U9TVnnfw-FY/s1600/02.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nQ7TqecStzw/VUJJ2DI_46I/AAAAAAAHUXA/gJmgcdCqmVQ/s1600/03.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GOkTIUjI3Po/VUJJ7HcD_ZI/AAAAAAAHUXQ/ay-rg7fWyOc/s1600/04.jpeg)
10 years ago
Habarileo11 Sep
Mfumo mpya wa kusambaza dawa Dodoma
MKOA wa Dodoma katika kuondoa tatizo la dawa katika zahanati na vituo vya afya vijijini, imeanzisha mfumo maalumu ujulikanao kama ‘Prime Vendor’ (PV) utakaowezesha zahati na vituo vya afya kusambaziwa dawa na msambazaji binafsi, chini ya mpango wa ubia kati serikali na sekta binafsi (PPP).
10 years ago
VijimamboTanesco na Helios Tower Tanzania wafanya warsha ya siku moja juu ya usambazaji wa Umeme
11 years ago
GPLWAKULIMA WATESWA NA USAMBAZAJI DAWA FEKI ZA KILIMO
10 years ago
VijimamboWARSHA YA MFUMO WA KIMATAIFA WA HUDUMA ZA HALI YA HEWA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-otKwV0mDg3Y/VgpTS_yiXvI/AAAAAAAH7sk/55Y9TbEAU5M/s72-c/DSC_0207.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA MADAWA ZANZIBAR WAFANYIKA ZANZIBAR BEACH RESORT
![](http://3.bp.blogspot.com/-otKwV0mDg3Y/VgpTS_yiXvI/AAAAAAAH7sk/55Y9TbEAU5M/s640/DSC_0207.jpg)
NA RAMADHANI ALI/MAELEZO ZANZIBAR BODI ya Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar (ZFDB) imeandaa miongozo ya utoaji huduma bora katika kufanikisha Mpango wa uwiano wa Itifaki ya pamoja kwa Nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika...
10 years ago
MichuziTMA YAANDAA WARSHA YA MAFUNZO YA UTUMIAJI WA TEKNOLOJIA YA MFUMO WA KIDIGITAL