Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukosefu wa maadili tatizo sugu kwa vijana

>Maadili ni hatua muhimu ambayo humtambulisha binadamu ndani ya jamii yake. Katika hali ya kawaida maadili hujitokeza katika matendo, kwa vile ndicho kielelezo sahihi cha kupima maadili ya jamii fulani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

LISHE MAALUMU KWA WANAUME WENYE TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

 Ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.  Kufahamu  kwa  kina  kuhusu  tatizo  la  ukosefu  &  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni muhimu  sana  kutembelea    link  hii  hapa  chini.http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.htmlLISHE  YA  NGUVU  ZA  KIUME  NI  NINI  ?Lishe  ya  nguvu  za  kiume  ni  lishe  maalumu  kwa  wanaume  wenye  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ukosefu wa kazi kwa vijana ni janga la dunia

DSC_0499

Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan akionyesha gazeti la “Tuwasiliane” linalochapishwa na UTPC na kusambazwa kwa wadau na maeneo mbalimbali ya jijini Mwanza kwa Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez  aliyetembelea makao ya ofisi hizo kwa ajili ya mazungumzo na kuboresha ushirikiano baina ya Umoja wa Mataifa Umoja huo wa vilabu vya waandishi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa ajira kwa vijana bomu linalosubiri kulipuka

Ukosefu wa ajira ndiyo kilio kikubwa cha wahitimu wengi wa vyuo vikuu nchini. Wengi wanapomaliza vyuo huwa wanatarajia kupata kazi nzuri, lakini kinyume na matarajio yao wanaendelea kusota mitaani bila kazi.

 

10 years ago

GPL

UKOSEFU WA KAZI KWA VIJANA NI JANGA LA DUNIA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan akionyesha gazeti la "Tuwasiliane" linalochapishwa na UTPC na kusambazwa kwa wadau na maeneo mbalimbali ya jijini Mwanza kwa Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez aliyetembelea makao ya ofisi hizo kwa ajili ya mazungumzo na kuboresha ushirikiano...

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu wa ajira  kwa vijana watishia amani ya nchi

Waziri wa ulinzi na Jeshi la kujenga uchumi Dr Husein Ali Mwinyi  amesema miongoni mwa matatizo makubwa yanayoikabili nchi ni ukosefu wa ajira kwa vijana jambo ambalo linahitaji mikakati imara na mipango thabiti ya ushirikiano itakayopelekea kuwanusuru vijana kujiingiza katika vitendo viovu kwa kuwajengea misingi ya ajira.

Anasema kuzisaidia jumuiya za kiraia zenye malengo ya kuwakusanya vijana na kuwapatia stadi za kiuchumi na ajira ni hatua muhimu kwa viongozi na wadau wengine kuwajibika...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, nini suluhisho lake?

Mara kadhaa, watu wa kada mbalimbali wakizungumzia tatizo la ajira nchini, baadhi ya viongozi wa serikali huwakejeli na kudai kuwa hawana hoja za msingi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashine ya BVR sasa haina tatizo hata kwa wenye vidole vyenye sugu — NEC

unnamed

Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa, Mh. Deo Filikunjombe (kushoto) akiweka sahihi  katika mashine ya kielektroniki za Biometric Voters Registration (BVR),wakati akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura juzi katika kituo cha shule ya msingi Ludewa mjini, wa pili kulia anayeshuhudia ni kamishina wa tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC), Prof. Amone Chaligha.

Na MatukiodaimaBlog, Ludewa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura ...

 

10 years ago

GPL

KIBITI: UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA ULIVYOTENGENEZA ‘BOMU’

Mheshimiwa Abdul Jabiri Marombwa stori: Hashim Aziz
Rufiji ni moja kati ya wilaya sita za Mkoa wa Pwani ambayo ndani yake, kunapatikana Jimbo la Uchaguzi la Kibiti linaloongozwa na Mheshimiwa Abdul Jabiri Marombwa (54), kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kwa upande wa Kaskazini, Wilaya ya Rufiji na Mkuranga, upande wa Mashariki kuna Bahari ya Hindi, Kusini kuna Mkoa wa Lindi na upande wa Magharibi, inapakana na Mkoa wa...

 

11 years ago

Bongo5

Siku ya Vijana Duniani: ‘Vijana na Afya ya Akili’, Tusipokabiliana na ukosefu wa ajira na kupewa nguvu ya maamuzi, hatutaweza

Miaka 15 iliyopita, Umoja wa Mataifa uliitangaza August 12 kila mwaka, kuwa ‘Siku ya Vijana Duniani’ ambapo kauli mbiu ya mwaka huu inasema ‘Vijana na Afya ya Akili’. Kwa mujibu wa andiko kutoka Umoja wa Mataifa, asilimia 20 ya vijana duniani kote hupata tatizo linalohusiana na afya ya akili kila mwaka. Hatari zaidi hutokea katika […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani