KIBITI: UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA ULIVYOTENGENEZA ‘BOMU’
![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDI6rfx5MBbMdWnGgAhDSfHC*NpQbjRYbBt1sTZeWrXItwtV4dJsMd1x85Ul0iaorAxDVqWanU-lWHc02LGhcIMQ/1427.jpg?width=650)
Mheshimiwa Abdul Jabiri Marombwa stori: Hashim Aziz Rufiji ni moja kati ya wilaya sita za Mkoa wa Pwani ambayo ndani yake, kunapatikana Jimbo la Uchaguzi la Kibiti linaloongozwa na Mheshimiwa Abdul Jabiri Marombwa (54), kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kwa upande wa Kaskazini, Wilaya ya Rufiji na Mkuranga, upande wa Mashariki kuna Bahari ya Hindi, Kusini kuna Mkoa wa Lindi na upande wa Magharibi, inapakana na Mkoa wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Ukosefu wa ajira kwa vijana bomu linalosubiri kulipuka
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Ukosefu wa ajira kwa vijana nchini, nini suluhisho lake?
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Lowassa: Bomu la ajira kwa vijana kulipuka muda wowote
11 years ago
Bongo512 Aug
Siku ya Vijana Duniani: ‘Vijana na Afya ya Akili’, Tusipokabiliana na ukosefu wa ajira na kupewa nguvu ya maamuzi, hatutaweza
10 years ago
MichuziVIJANA WAFURIKA BANDA LA TBL MAONESHO YA AJIRA KWA VIJANA DAR
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Ukosefu wa kazi kwa vijana ni janga la dunia
Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan akionyesha gazeti la “Tuwasiliane” linalochapishwa na UTPC na kusambazwa kwa wadau na maeneo mbalimbali ya jijini Mwanza kwa Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez aliyetembelea makao ya ofisi hizo kwa ajili ya mazungumzo na kuboresha ushirikiano baina ya Umoja wa Mataifa Umoja huo wa vilabu vya waandishi wa...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Ukosefu wa maadili tatizo sugu kwa vijana
9 years ago
StarTV28 Dec
Ukosefu wa ajira kwa vijana watishia amani ya nchi
Waziri wa ulinzi na Jeshi la kujenga uchumi Dr Husein Ali Mwinyi amesema miongoni mwa matatizo makubwa yanayoikabili nchi ni ukosefu wa ajira kwa vijana jambo ambalo linahitaji mikakati imara na mipango thabiti ya ushirikiano itakayopelekea kuwanusuru vijana kujiingiza katika vitendo viovu kwa kuwajengea misingi ya ajira.
Anasema kuzisaidia jumuiya za kiraia zenye malengo ya kuwakusanya vijana na kuwapatia stadi za kiuchumi na ajira ni hatua muhimu kwa viongozi na wadau wengine kuwajibika...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC_04991.jpg)
UKOSEFU WA KAZI KWA VIJANA NI JANGA LA DUNIA