Lowassa: Bomu la ajira kwa vijana kulipuka muda wowote
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema vijana 10,500 waliojitokeza kufanya usaili wa nafasi 70 za kazi katika Idara ya Uhamiaji, ni ishara kuwa bomu la ajira litalipuka muda wowote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Feb
Ukosefu wa ajira kwa vijana bomu linalosubiri kulipuka
Ukosefu wa ajira ndiyo kilio kikubwa cha wahitimu wengi wa vyuo vikuu nchini. Wengi wanapomaliza vyuo huwa wanatarajia kupata kazi nzuri, lakini kinyume na matarajio yao wanaendelea kusota mitaani bila kazi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDI6rfx5MBbMdWnGgAhDSfHC*NpQbjRYbBt1sTZeWrXItwtV4dJsMd1x85Ul0iaorAxDVqWanU-lWHc02LGhcIMQ/1427.jpg?width=650)
KIBITI: UKOSEFU WA AJIRA KWA VIJANA ULIVYOTENGENEZA ‘BOMU’
Mheshimiwa Abdul Jabiri Marombwa stori: Hashim Aziz
Rufiji ni moja kati ya wilaya sita za Mkoa wa Pwani ambayo ndani yake, kunapatikana Jimbo la Uchaguzi la Kibiti linaloongozwa na Mheshimiwa Abdul Jabiri Marombwa (54), kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kwa upande wa Kaskazini, Wilaya ya Rufiji na Mkuranga, upande wa Mashariki kuna Bahari ya Hindi, Kusini kuna Mkoa wa Lindi na upande wa Magharibi, inapakana na Mkoa wa...
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Lowassa sasa rasmi Ukawa,muda wowote kutangazwa mgombea urais
>Katika dakika za mwishomwisho wakati wa mchakato wa kuwania urais kwa tiketi ya CCM, habari za mmoja wa wagombea aliyekuwa na nguvu katika kinyang’anyiro hicho, Edward Lowassa kwamba angeenguliwa zilivuma mno na kuibua swali la atakatwa hakatwi?
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Lowassa: Nitaifanya JKT kuzalisha ajira kwa vijana
Mgombea Urais wa Chadema kwa tiketi ya Ukawa, Edward Lowassa amesema akiiangia madarakani atashughulikia suala la ukosefu wa ajira hasa kwa vijana kwa kuhakikisha vijana wanajiunga na kwenye mafunzzo ya Jeshi la Kujenga Taifa na kupatiwa mafunzo ya ufundi stadi.
10 years ago
VijimamboLowassa Ameanza Kutengeneza Ajira Za Vijana Mapema. Ona Mbeya Wanavyouza.
Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya -
![](http://4.bp.blogspot.com/-EjYkHz0b4aY/Vc3K1fpeIZI/AAAAAAAAJoY/X45MgjUSHbY/s640/attachment.php.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DN8yziF5F0M/Vc3K2LCdA-I/AAAAAAAAJog/F1PLFIRCQ58/s640/fhsdhrsd.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vLcedGZfw6Y/Vc3K0wWx11I/AAAAAAAAJoU/V_Gkl_XnHws/s640/hfdh.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9F6o9JYPcCo/Vc3K2wm_6JI/AAAAAAAAJos/78x1trYNk8c/s640/hnsjg.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BxCZTe36RTY/Vc3K3HyHf1I/AAAAAAAAJow/uyPNqT-P5KI/s640/jg.jpg)
10 years ago
MichuziVIJANA WAFURIKA BANDA LA TBL MAONESHO YA AJIRA KWA VIJANA DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YCZ77stwWkdxQPZb6qjZayCHbxmEF88B3AklR8lufByMsk*ZvkrN1tKGhM5KygPxVLlOgUQtuBH5lb-veZfA*s/aa.jpg?width=650)
PENINA KUPIGWA NDOA MUDA WOWOTE
Laurent Samatta/Uwazi
MUIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’, amefunguka kuwa anatarajia kufunga ndoa muda wowote kuanzia sasa. Muigizaji wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’. Akizungumza na Uwazi, Penina alisema kuwa harakati za kuolewa zipo jikoni hivyo anamuomba Mungu kile ambacho kinatarajia kufanyika kiweze kwenda kama alivyopanga ingawa hakutaka kumweka wazi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jj1ucLnqWOw/VVWhA1YmkTI/AAAAAAAHXZQ/QJhm6KrECWE/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
MUDA WOWOTE MTONI KIJICHI KUTASHEHENI VILIO...
Kinga ni bora kuliko tiba. Lakini kwa mti huu ulio katika barabara ya Kijichi, Dar es Salaam, kama inavyoonekana katika picha mbalimbali, ni wazi kuna siku kitalia. Na inaelekea mamlaka zinazohusika ama zimepitiwa au zinachukulia poa tu. Picha zote na Nathan Mpangala.
Taswira hizi zinaonesha ni jinsi gani hatari hiyo ilivyo karibu na wananchi
Waendesha magari, bodaboda na waendao kwa miguu inawahusu hii![](http://2.bp.blogspot.com/-ikH_FmyuNBc/VVWhBMdVnoI/AAAAAAAHXZM/Pqf2hBdY0Ec/s640/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jj1ucLnqWOw/VVWhA1YmkTI/AAAAAAAHXZQ/QJhm6KrECWE/s640/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dgvTcyJJ6GQ/VVWhA02Rm3I/AAAAAAAHXZI/AL1nawDHDIE/s640/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ikH_FmyuNBc/VVWhBMdVnoI/AAAAAAAHXZM/Pqf2hBdY0Ec/s640/unnamed%2B(6).jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Sep
Sauti:Ajira kwa vijana
Repoti ya Salma Said:
The post Sauti:Ajira kwa vijana appeared first on Mzalendo.net.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania