Lowassa sasa rasmi Ukawa,muda wowote kutangazwa mgombea urais
>Katika dakika za mwishomwisho wakati wa mchakato wa kuwania urais kwa tiketi ya CCM, habari za mmoja wa wagombea aliyekuwa na nguvu katika kinyang’anyiro hicho, Edward Lowassa kwamba angeenguliwa zilivuma mno na kuibua swali la atakatwa hakatwi?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ5IzeHWxW0/VbY1Urqa4dI/AAAAAAAHsBQ/TxknfHjEzJk/s72-c/_MG_0899.jpg)
MHE.EDWARD LOWASSA AKARIBISHWA RASMI KUJIUNGA NA UKAWA.,MGOMBEA URAIS KUTANGAZWA AGOSTI 4
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ5IzeHWxW0/VbY1Urqa4dI/AAAAAAAHsBQ/TxknfHjEzJk/s640/_MG_0899.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1zTFqxRAUFmr*e4r9UE8S6Apmp1oYz1Tj3ErFK5OVAY3Jo5MaQUaQT1DvtPJ5*n96vi5Oq-rzxSJrsJkv6SLTdp/ukawanew.jpg?width=650)
MGOMBEA URAIS UKAWA KUTANGAZWA KWA SHAMRASHAMRA NDANI YA SIKU 7
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1yfN1o-y5OBbS2TRLog5YfBPJzXrLMqw80ad8KsEYBASWc7jCW5GcSbJJUB8uLxOPPV6vWsjBtHXEtKgBlXx-v9/ukawa.jpg?width=650)
KIKAO CHA UKAWA KUMPATA MGOMBEA URAIS KINAENDELEA MUDA HUU
10 years ago
Habarileo05 Aug
Lowassa athibitishwa mgombea urais Ukawa
MKUTANO Mkuu wa Chadema umempitisha kwa kauli moja aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa kuwa mgombea wa kiti cha Urais wa chama hicho na baadaye ikaelezwa kuwa, ndiye atakayebeba jahazi la umoja wa vyama vinne vya upinzani vianvyounda Ukawa katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mwzcilLs5b5ByVb-jOB5XMbfDbD2pKsckPZczQl1X0YldCPIPTlYaV3y7eaGvtzXD87GWlebOj6VPirpLWE7kw5/frontuwaziMizengwe1.jpg)
LOWASSA SASA RASMI UKAWA
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-EXD8fFUWb7c/ViFvtWYBqKI/AAAAAAAAWjw/6Mg701DZqE8/s72-c/12107778_10153760986315774_7658373651600433959_n.jpg)
9 years ago
StarTV02 Oct
Mgombea Urais UKAWA Edward Lowassa asisitiza kutumia TEKNOHAMA
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kinachoungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa amesema Sera yake anayoitumia ya Elimu kwanza si kwa mfumo uliopo sasa bali atabadilisha mfumo mzima na kuufanya kuwa wa TEKNOHAMA.
Amedai teknolojia hiyo ataifanya iweze kuwafikia wananchi kwa wepesi kwa kutumia rasilimali zilizopo kama Gesi asilia, madini ,vyanzo vya utalii na fedha zilizopo kwa kuwa anaamini Serikali bado ina pesa...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--LREYzIM-Ms/VFKUJyiDvvI/AAAAAAAAAUU/et19-Jt3wxI/s72-c/lowasa.jpg)
MJUE EDWARD LOWASSA MGOMBEA URAIS WA CHADEMA ANAYEBEBA BENDERA YA UKAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/--LREYzIM-Ms/VFKUJyiDvvI/AAAAAAAAAUU/et19-Jt3wxI/s1600/lowasa.jpg)
Alisoma Shule Ya Msingi Ya Monduli (1967-1971), Shule ya Sekondari Arusha Kwa Kidato Kwa Kwanza hadi cha nne (1967-1971) na Shule ya Sekondari Milambo kwa kidato cha Tano Na Sita (1971-1973).
Ana Shahada ya Elimu na Sanaa kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es
Salaam Aliyohitimu Mwaka 1977, Na Shahada ya Uzamivu Katika Maendeleo kutoka Chuo Kikuu...