KIKAO CHA UKAWA KUMPATA MGOMBEA URAIS KINAENDELEA MUDA HUU
![](http://api.ning.com:80/files/j*z2ryZ7D1yfN1o-y5OBbS2TRLog5YfBPJzXrLMqw80ad8KsEYBASWc7jCW5GcSbJJUB8uLxOPPV6vWsjBtHXEtKgBlXx-v9/ukawa.jpg?width=650)
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa (kulia) na Mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu wakipata futari wakati wa mapumziko. KIKAO cha kumtafuta na kumtangaza mgombea urais kupitia Ukawa katika Ukumbi wa Hoteli ya Colosseum, Masaki jijini Dar es Salaam kinaendelea muda huu. Wajumbe wa kikao hicho wakipata futari wakati wa…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Lowassa sasa rasmi Ukawa,muda wowote kutangazwa mgombea urais
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
WAANDISHI WA HABARI KUTOKA VYOMBO MBALIMBALI WAKISUBIRI JINA LA MGOMBEA URAIS KUPITIA UKAWA USIKU HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),Tumaini Makene akizungumza na waandishi habari hivi punde juu kinachoendelea katika mkutano wa kutafuta mgombea wa Urais kwa tiketi ya UKAWA, uliofanyika katika Hoteli ya Colesseum jijini Dar es Salaam,Makene amesema majadiliano hayo sio urais tu bali kuna mipaka ya majimbo mapya jinsi watavyojipanga katika kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu. Makene amezidi kuwataka waandishi wawe na subira kusubiri maamuzi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/W-BK82a1GsuXCbGfOQAYXI4VslD0ocqMkC4gFvKM*pzffdurbMxZeWI5kWvm*djCj3PDvMGWW7ha-hefaX1AZOKHWKI0KQm0/IMG20150710WA0034.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Jul
MAONI: Pongezi CCM kumpata mgombea urais
10 years ago
Raia Mwema08 Jul
Kanuni 5 bubu za kumpata mgombea urais wa CCM
HIVI karibuni, kipenga cha mchakato wa kuwania nafasi ya kuteuliwa na CCM kuwa mgombea urais kili
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvM-hUylLVlZF5yyNdjJ5WEphH4Nn0Tsm2qRGPKio8YbyV6dyKTf*jrva1*NLH8b1rv5x*kyFrb-ATmjJAUxEG48/Nape.jpg)
NAPE AELEZEA UTARATIBU WA KUMPATA MGOMBEA URAIS
10 years ago
Mwananchi15 Jul
Ugumu walioupata CCM kumpata mgombea urais