Mgombea Urais UKAWA Edward Lowassa asisitiza kutumia TEKNOHAMA
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kinachoungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa amesema Sera yake anayoitumia ya Elimu kwanza si kwa mfumo uliopo sasa bali atabadilisha mfumo mzima na kuufanya kuwa wa TEKNOHAMA.
Amedai teknolojia hiyo ataifanya iweze kuwafikia wananchi kwa wepesi kwa kutumia rasilimali zilizopo kama Gesi asilia, madini ,vyanzo vya utalii na fedha zilizopo kwa kuwa anaamini Serikali bado ina pesa...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-EXD8fFUWb7c/ViFvtWYBqKI/AAAAAAAAWjw/6Mg701DZqE8/s72-c/12107778_10153760986315774_7658373651600433959_n.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--LREYzIM-Ms/VFKUJyiDvvI/AAAAAAAAAUU/et19-Jt3wxI/s72-c/lowasa.jpg)
MJUE EDWARD LOWASSA MGOMBEA URAIS WA CHADEMA ANAYEBEBA BENDERA YA UKAWA
![](http://1.bp.blogspot.com/--LREYzIM-Ms/VFKUJyiDvvI/AAAAAAAAAUU/et19-Jt3wxI/s1600/lowasa.jpg)
Alisoma Shule Ya Msingi Ya Monduli (1967-1971), Shule ya Sekondari Arusha Kwa Kidato Kwa Kwanza hadi cha nne (1967-1971) na Shule ya Sekondari Milambo kwa kidato cha Tano Na Sita (1971-1973).
Ana Shahada ya Elimu na Sanaa kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es
Salaam Aliyohitimu Mwaka 1977, Na Shahada ya Uzamivu Katika Maendeleo kutoka Chuo Kikuu...
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ5IzeHWxW0/VbY1Urqa4dI/AAAAAAAHsBQ/TxknfHjEzJk/s72-c/_MG_0899.jpg)
MHE.EDWARD LOWASSA AKARIBISHWA RASMI KUJIUNGA NA UKAWA.,MGOMBEA URAIS KUTANGAZWA AGOSTI 4
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ5IzeHWxW0/VbY1Urqa4dI/AAAAAAAHsBQ/TxknfHjEzJk/s640/_MG_0899.jpg)
9 years ago
Vijimambo30 Aug
HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/ilani-620x308.jpg)
Hotuba ya Lowassa
Jangwani, Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015
Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu
Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe, vyama vya upinzani wa CHADEMA, CUF, NCCR na NLD umeungana chini ya Umoja wa Katiba ya Wananchi kupigania uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwa na mgombea mmoja katika ngazi zote.
Miaka zaidi ya hamsini ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
Mkutano Mkuu wa CHADEMA wamempitisha Edward Lowassa kama mgombea Urais na Haji Duni kama mgombea Mwenza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lBwATAtAks/VcCf0l2JfMI/AAAAAAAAA7Y/x-4eWlH_yXw/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-d-NZ6oQiLRo/VcCkcrv0CvI/AAAAAAAAA7s/nxyfyCpAQro/s640/0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uKFbKWC5sec/VcCf0i5OouI/AAAAAAAAA7c/1jmDKwUOGqI/s640/1%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qfOvFNEThXM/VdBQaM_47EI/AAAAAAAATqU/AvtHDIVmYtI/s72-c/E86A9073%2B%25281280x853%2529%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0nnZF60lyIU/VdARoKOuoUI/AAAAAAAATHw/1N270smJ8rM/s72-c/E86A8547%2B%25281280x853%2529.jpg)
MGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA NA UKAWA EDWARD LOWASA ALIPOWASILI UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA KILIMANJARO KIA.
Na Dixon Busagaga
Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro,Phlemoni Ndesamburo akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi ,Godluck Ole Medeye walipokutana uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya mapokezi ya mgombea urais wa UKAWA na Chadema, Edward Ngoyai ,Lowasa.
Mwenyekii wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro akisalimiana na James Lembeli walipokutana uwanja wa Ndege wa KIA.
Mbunge wa jimbo la Rombo ,Joseph Selasni akizungumza jambo na aliyekuwa mbunge...
![](http://3.bp.blogspot.com/-0nnZF60lyIU/VdARoKOuoUI/AAAAAAAATHw/1N270smJ8rM/s640/E86A8547%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-inD6l5wfnwc/VdARpsTyf-I/AAAAAAAATH8/s4XEWO20Cu0/s640/E86A8551%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R__scpUzi30/VdARndPNBiI/AAAAAAAATHs/yc0yDlHI0oM/s640/E86A8553%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkzvmXMPOI/VdARxY8symI/AAAAAAAATIE/4PmHQf1h7KA/s640/E86A8559%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bkofqn56s9k/VcYVtiDAtPI/AAAAAAABTTY/xBMMK4XwjhI/s72-c/11865230_387435721449032_6198329758720002360_o.jpg)
MGOMBE URAIS KUPITIA CHADEMA NA UKAWA EDWARD LOWASSA KUCHUKUA FOMU TAREHE 10/08/2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-bkofqn56s9k/VcYVtiDAtPI/AAAAAAABTTY/xBMMK4XwjhI/s640/11865230_387435721449032_6198329758720002360_o.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania