Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PENINA KUPIGWA NDOA MUDA WOWOTE

Laurent Samatta/Uwazi
MUIGIZAJI wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’, amefunguka kuwa anatarajia kufunga ndoa muda wowote kuanzia sasa. Muigizaji wa filamu za Kibongo, Jennifer Raymond ‘Penina’. Akizungumza na Uwazi, Penina alisema kuwa harakati za kuolewa zipo jikoni hivyo anamuomba Mungu kile ambacho kinatarajia kufanyika kiweze kwenda kama alivyopanga ingawa hakutaka kumweka wazi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MUDA WOWOTE MTONI KIJICHI KUTASHEHENI VILIO...

Kinga ni bora kuliko tiba. Lakini kwa mti huu ulio katika barabara ya Kijichi, Dar es Salaam, kama inavyoonekana katika picha mbalimbali, ni wazi kuna siku kitalia. Na inaelekea mamlaka zinazohusika ama zimepitiwa au zinachukulia poa tu. Picha zote na Nathan Mpangala. Taswira hizi zinaonesha ni jinsi gani hatari hiyo ilivyo karibu na wananchiWaendesha magari, bodaboda na waendao kwa miguu inawahusu hii

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa: Bomu la ajira kwa vijana kulipuka muda wowote

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema vijana 10,500 waliojitokeza kufanya usaili wa nafasi 70 za kazi katika Idara ya Uhamiaji, ni ishara kuwa bomu la ajira litalipuka muda wowote.

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa sasa rasmi Ukawa,muda wowote kutangazwa mgombea urais

>Katika dakika za mwishomwisho wakati wa mchakato wa kuwania urais kwa tiketi ya CCM, habari za mmoja wa wagombea aliyekuwa na nguvu katika kinyang’anyiro hicho, Edward Lowassa kwamba angeenguliwa zilivuma mno na kuibua swali la atakatwa hakatwi?

 

10 years ago

GPL

JE, KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MIUNGURUMO KWA MWANAUME KATIKA TENDO LA NDOA?

Watu wengi wamekuwa wakiwasiliana nasi wakihusisha haya mambo mawili hasa wanaume pasipo kujua kama yanahusiana kwa ukaribu au laa. Na kwa maana hiyo, leo watu wengi wataweza kujua uhusiano wa haya mambo mawili yaani miungurumo ya tumbo, tumbo kujaa gesi na miungurumo ya hapa na pale katika kushiriki tendo la ndoa au kupungukiwa na nguvu katika kushiriki tendo la ndoa. Tatizo hili kitaalamu huitwa constipation, yaani mtu kuwa na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nuh Mziwanda: Kupigwa Raha, Tumepenga Kufunga Ndoa

Msanii  wa muziki wa kizazi kipya, Nuh Mziwanda, ametoa kali ya mwaka kwa kudai kwamba kitendo cha kupigwa mara kwa mara na mpenzi wake, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, kinampa furaha na ufahamu wa namna anavyopendwa.                          

“Kwanza kupigwa raha, mpenzi wako asipokupiga hakuonei wivu, mimi nafurahi sana na namtaka anipige tu! kila siku akijisikia, ananidhihirishia kuwa ananipenda,” alisema.

Nuh alisema mengi yamesemwa kutokana na kupigwa kwake mara kwa mara, huku akidai kwamba...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wengi hawana muda wa tendo la ndoa Japan

Asilimia 50 ya watu wazima nchini Japan hawashiriki katika tendo la ngono kulingana na utafiti hali inayosababisha kupungua kwa idadi ya watu nchini humo.

 

11 years ago

GPL

PENINA ALAUMIWA KUTOZIKA WENZIYE!

Na Gladness Mallya MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Jenifer Raymond ‘Penina’ ameshushiwa lawama ya kukwepa kuhudhuria misiba ya wasanii wenzake.Chanzo makini kilicho ndani ya tasnia ya filamu kimesema kuwa, wanachukizwa na tabia hiyo na wamepanga kumuonya ili kama ataendelea na tabia hiyo asiwalaumu wenzake atakapofiwa.
Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Jenifer Raymond ‘Penina’ “Tunamshangaa sana...

 

9 years ago

Vijimambo

PICHA: FLAVIANA MATATA AFUNGA NDOA NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU SASA KUITWA MRS MASSAWE

 Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe.Flavy na mpenzi wake wa siku nyingi Deogratius Massawe wamefunga pingu za maisha Jumamosi ya August 15, 2015 katika kanisa la St.Joseph ikafuatiwa na sherehe iliyofanyika Serena Hotel jijini Dar es salaam.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Penina Mhando: Nyagoda mwenye maandishi yanayochoma na kufikirisha

MWAKA huu Kigoda cha Mwalimu Nyerere kimeanza na Nyagoda mpya. Maana ya Nyagoda ni Kigoda cha Mwalimu kina Profesa anayekikalia kama mwenyekiti kwa kipindi fulani. Kigoda hiki kilichoanza juzi Chuo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani