Prof. Penina Mhando: Nyagoda mwenye maandishi yanayochoma na kufikirisha
MWAKA huu Kigoda cha Mwalimu Nyerere kimeanza na Nyagoda mpya. Maana ya Nyagoda ni Kigoda cha Mwalimu kina Profesa anayekikalia kama mwenyekiti kwa kipindi fulani. Kigoda hiki kilichoanza juzi Chuo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCk7GLDbmPkwcWZW6Zvoap5q84iYkKuKuCYYo3fmVALPikaG7cCaxyUhcU43Z68BJK7-s7dVrgCDItK*72uZ5dxx/6.jpg?width=650)
PENINA ALAUMIWA KUTOZIKA WENZIYE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YCZ77stwWkdxQPZb6qjZayCHbxmEF88B3AklR8lufByMsk*ZvkrN1tKGhM5KygPxVLlOgUQtuBH5lb-veZfA*s/aa.jpg?width=650)
PENINA KUPIGWA NDOA MUDA WOWOTE
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu
![](http://accents.international.uiowa.edu/wp-content/uploads/2011/03/slaa-cropped.jpg)
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.
Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...
9 years ago
Bongo531 Dec
Vitabu ni zaidi ya maandishi by Faraja Nyalandu
![11357008_405079516346127_1607457850_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11357008_405079516346127_1607457850_n-300x194.jpg)
Kila mwisho wa mwaka huwa ninataja tano bora ya vitabu nilivyosoma mwaka huo. Nimefanya hivyo kwa miaka miwili, unaweza kuona tano bora ya 2013 hapa na hata ya 2014 katika post hii ya Instagram.
Kusoma Vitabu ni Tabia
Ninapenda kusoma vitabu, sikumbuki lini nilianza kupenda kusoma vitabu lakini nakumbuka ni tabia niliyokua nayo tokea mtoto. Mama yangu alikuwa mwalimu aliyehakikisha ualimu wake hauishii tu shuleni anapomaliza vipindi bali aliuleta mpaka nyumbani.
Kupe anayefaa
Nikisoma...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
TAS wataka vitabu vya maandishi makubwa
SERIKALI imeombwa kuchapisha vitabu maalum vyenye maandishi makubwa katika shule mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) walio na uono hafifu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oH6fU5UMaBM/XoswU8iZfcI/AAAAAAALmLQ/wpEdWB2d-ukIEMEgsvhu3zAejDTTgfGkgCLcBGAsYHQ/s72-c/kisutu.jpg)
SAMPULI YA MAANDISHI YA MSHTAKIWA JOYCE NA DIANA YANAFANANA-ASKARI POLISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-oH6fU5UMaBM/XoswU8iZfcI/AAAAAAALmLQ/wpEdWB2d-ukIEMEgsvhu3zAejDTTgfGkgCLcBGAsYHQ/s640/kisutu.jpg)
Inspekta Fatuma ambaye ni shahidi wa kwanza katika kesi ya kushawishi rushwa ya sh milioni 200 inayowakabili askari upelelezi wanne wa kituo cha polisi Kawe, ameeleza hayo...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s1600/1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rChn-QJ6gM/VJhdx7TABQI/AAAAAAAAVDY/vyedmvEXjO4/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-85xjOsGLXKo/VJhdzYAjX1I/AAAAAAAAVDk/1KuPUy1fFNY/s1600/14.jpg)
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JF5JzD-Wz3Q/U6ANCqi4ZDI/AAAAAAAFrL8/gKzcj3p8tc0/s72-c/zitto.jpg)
11 years ago
Zitto Kabwe, MB17 Jun
MCHANGO WA MAANDISHI WA NDG. KABWE ZUBERI ZITTO, MB KUHUSU BAJETI YA SERIKALI YA MWAKA WA FEDHA 2014/2015
MCHANGO WA MAANDISHI WA NDG. KABWE ZUBERI ZITTO, MB KUHUSU BAJETI YA SERIKALI YA MWAKA WA FEDHA 2014/2015
Mheshimiwa Spika, Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa nguvu za kuweza kuandika mchango wangu huu mdogo kwenye mjadala wa Bajeti ya Serikali mwaka 2014/15. Kama wengi mnavyofahamu mnamo tarehe 1 Juni mwaka 2014 nilimpoteza mama yangu mzazi na kumsitiri siku iliyofuata tarehe 2 Juni, 2014. Huu ni msiba mkubwa sana kwangu na ndugu zangu wote kwani mama yetu Bi. Shida...