TAS wataka vitabu vya maandishi makubwa
SERIKALI imeombwa kuchapisha vitabu maalum vyenye maandishi makubwa katika shule mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) walio na uono hafifu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
TAS Geita wataka Serikali kufuta vibali vya waganga wa jadi
Wakazi wa kata ya Buseresere wilayani Chato mkoani Geita wakianza maandamano ya matembezi ya amani ya kupinga mauaji ya kikatili dhidi ya watu wenye ule mavu wa ngozi yaliyofanyika mwishoni mwa wiki.
Na Alphonce Kabilondo, Geita .
MWENYEKITI wa Chama cha walemavu wa ngozi (Albinisms) (TAS) mkoani Geita, Bw Issack Timothy ameitaka serikali kufuta vibali vya waganga wajadi nchini ili kukomesha mauaji ya kikatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na waganga wa jadi kuwa chanzo...
9 years ago
Bongo531 Dec
Vitabu ni zaidi ya maandishi by Faraja Nyalandu
![11357008_405079516346127_1607457850_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/11357008_405079516346127_1607457850_n-300x194.jpg)
Kila mwisho wa mwaka huwa ninataja tano bora ya vitabu nilivyosoma mwaka huo. Nimefanya hivyo kwa miaka miwili, unaweza kuona tano bora ya 2013 hapa na hata ya 2014 katika post hii ya Instagram.
Kusoma Vitabu ni Tabia
Ninapenda kusoma vitabu, sikumbuki lini nilianza kupenda kusoma vitabu lakini nakumbuka ni tabia niliyokua nayo tokea mtoto. Mama yangu alikuwa mwalimu aliyehakikisha ualimu wake hauishii tu shuleni anapomaliza vipindi bali aliuleta mpaka nyumbani.
Kupe anayefaa
Nikisoma...
10 years ago
MichuziMTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE
10 years ago
MichuziVitabu vya Shaaban Robert
![](http://2.bp.blogspot.com/-S7UOasxh6Aw/VVKJS8kZ3jI/AAAAAAAAKec/bP3BzCARC6s/s200/Shaaban-Robert1.jpg)
Na Profesa Mbele
Jina la Shaaban Robert ni maarufu miongoni mwa wa-Tanzania na wengine wa nchi zingine wanaokijua ki-Swahili. Lakini, tujiulize ni wa-Tanzania wepi ambao wamesoma angalau vitabu vichache vya Shaaban Robert.
Ni wangapi wamesoma au wanasoma mashairi yake, tenzi zake, insha zake, barua zake, na riwaya zake?
Ni wangapi wamesoma vitabu vyake vingine, kama vile Wasifu wa Siti Binti Saad, Maisha Yangu na Baada ya Miaka Hamsini, na tafsiri yake ya mashairi ya Omar Khayyam? Kama hatuna...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DR452U7PFC0wmviAZVXI1BQxzxiuCrVCXcD-223k7eWGRCjhOBZQ1ZmShk7fV7rhV-0mjruoNvoxxrn*mkB-Ztj/TangazoTangazoSababsaba.jpg?width=750)
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Necta yaanzisha vitabu vya uchambuzi
BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limeanzisha vitabu vya uchambuzi vinavyoonyesha tathmini ya ufaulu kwa kila swali katika kila somo kwa shule za msingi. Vitabu hivyo vitasaidia kuongeza kiwango cha ufaulu...
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Tigo yasaidia vitabu vya Sh6mil
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Benki yatoa vitabu vya mil.1.4/-
BENKI ya Afrika, Tawi la Mtwara imetoa msaada wa vitabu 118 vyenye thamani ya sh. milioni 1.4 kwa Shule ya Sekondari ya Bandari ya mkoani hapa. Akizungumza mara baada ya...
11 years ago
Habarileo23 Mar
Mushkeli vitabu vya chenji ya rada
SHIRIKA la Kijamii lisilokuwa la kiserikali, Daraja, limeiomba serikali kusitisha kusambaza mashuleni vitabu vilivyonunuliwa kutokana na chenji ya rada. Hayo yalisemwa jana na ofisa mwandamizi wa shirika hilo, Lawrance Sigalla katika mkutano wake na waandishi wa habari.