MTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE
Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar.
Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua.
Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 May
SHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VITATU VIPYA KATIKA OFISI ZA GLOBAL
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mahojiano na Mtunzi wa Vitabu vya Utaalamu wa Mapishi Benn Haidari, kutoka Stockholm nchini Finland
11 years ago
Dewji Blog11 Jun
Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi
Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
Na Mwandishi wetu
WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.
Kitunga amesema...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0481.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SbLSspYVqnk/XpbugczVcII/AAAAAAAC3Ho/sIog_i83j5APc3885MdChcDeEqbG6xGsgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWANDISHI WA HABARI NA MTUNZI WA VITABU AMEAGA DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SbLSspYVqnk/XpbugczVcII/AAAAAAAC3Ho/sIog_i83j5APc3885MdChcDeEqbG6xGsgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Prof Walibora aligongwa na gari katika barabara ya Landhies, jijini Nairobi Ijumaa na mwili wake umekuwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Taifa ya Kenyatta (KNH).
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Nation, Walibora hakuonekana tangu Ijumaa na familia yake ilikuwa ikimtafuta kwa siku kadhaa kabla ya kubaini kwamba alikuwa amegongwa na gari.
Walibora ni mmoja wa watunzi mashuhuri wa...
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
DC Makonda azindua Vitabu vya Mwl.Lilian Ndegi
Mkuu wa Wilaya Kinondoni Mh.Paul Makonda siku ya jana katika kanisa la Living Water Center chini ya mtumishi wa Mungu Apostle Onesmo Ndegi alikuwa mgeni wa heshima katika uzinduzi wa vitabu vitatu “MJUE MWANAMKE,USIIPE HOFU NAFASI na RAFIKI ANAYEKUFAA vilivyoandikwa na Mwl Lilian Ndegi wa Kanisa la Living Water Center Kawe.
Ibada hiyo ya uzinduzi wa vitabu ilipambwa na vikundi vya uimbaji sifa kama Living Waters wenyeji Upendo Nkone,GUG Dancers na More Than Enough Band.
Mkuu huyo wa wilaya...
10 years ago
GPLSHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VIPYA MAREKANI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dB5GRuq0NoI/U8bhCrtHwQI/AAAAAAAF26k/MnGMxFNCKNE/s72-c/unnamed+(1).jpg)
BI MWANAMKAA ABDULRAHAMAN AZINDUA VITABU VIWILI KWA WATOTO NA WAKUBWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dB5GRuq0NoI/U8bhCrtHwQI/AAAAAAAF26k/MnGMxFNCKNE/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ugabJPqHanA/U8bhC42irQI/AAAAAAAF268/uJYghE8Hh3Y/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-trljLYebojA/U8bhC0e63AI/AAAAAAAF26o/1JIGlYMXvdM/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
GPLSHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VIWILI VIPYA KATIKA OFISI ZA GLOBAL