Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VIPYA MAREKANI

10 Laws-How to Move From Poverty to Prosperity. 26 Secrets- How to Defeat From Enemies and Make Millions of Dollars. MKURUGENZI Mtendaji wa Global Publishers, Eric James Shigongo…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VIWILI VIPYA KATIKA OFISI ZA GLOBAL

Mkurugenzi wa Global Publishers LTD, Shigongo Eric James (kulia), akishikilia vitabu vyake baada ya kumpatia jukumu la uzinduzi huo Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Kampuni hiyo, Oscar Ndauka. Tukio hilo limefanyika mapema leo ndani ya jengo la ofisi za GlobalPublishers zilizoko Mwenge-Bamaga jijini Dar es Salaam. Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho (kulia), akiwa amenyanyua moja ya vitabu hivyo baada ya...

 

10 years ago

Vijimambo

SHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VITATU VIPYA KATIKA OFISI ZA GLOBAL

Mkurugenzi wa Global Publishers LTD, Shigongo Eric James (kulia), akishikilia vitabu vyake baada ya kumpatia jukumu la uzinduzi huo Mhariri Kiongozi wa Magazeti Pendwa ya Kampuni hiyo, Oscar Ndauka. Tukio hilo limefanyika mapema leo ndani ya jengo la ofisi za GlobalPublishers zilizoko Mwenge-Bamaga jijini Dar es Salaam.Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho (kulia), akiwa amenyanyua moja ya vitabu hivyo baada ya zoezi la kukata utepe wa uzinduzi kukamilika.  Katikati ni mtunzi...

 

10 years ago

Michuzi

MTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar. Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua. Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Cristiano Ronaldo aonesha viatu vyake vipya vya CR7

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameonesha mkusanyiko wa viatu vyake vipya vya CR7. Awali Ronaldo ameshawahi kutoa nguo zake za ndani, mashati na perfume. Viatu hivyo vinapatikana kwa paundi 70. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video […]

 

10 years ago

GPL

SHIGONGO AZINDUA SEMINA YA UJASILIAMALI TANDALE-DAR

Wahamasishaji maarufu wa ujasiliamali Afrika Mashariki na Kati, Eric Shigongo na James James Mwang’amba wakiwasalimia umati kabla ya kuanza semina. Shigongo akioa somo kwenye semina hiyo.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani na vifaa vipya

Maafisa wa Marekani wanaosaidia kuisaka ndege ya Malyasia iliyotoweka wanasema wanaelekea Magharibi mwa bahari ya Hindi

 

9 years ago

Dewji Blog

DC Makonda azindua Vitabu vya Mwl.Lilian Ndegi

Mkuu wa Wilaya Kinondoni Mh.Paul Makonda siku ya jana katika kanisa la Living Water Center chini ya mtumishi wa Mungu Apostle Onesmo Ndegi alikuwa mgeni wa heshima katika uzinduzi wa vitabu vitatu  “MJUE MWANAMKE,USIIPE HOFU NAFASI na RAFIKI ANAYEKUFAA vilivyoandikwa na Mwl Lilian Ndegi wa Kanisa la Living Water Center Kawe.

Ibada hiyo ya uzinduzi wa vitabu ilipambwa na vikundi vya uimbaji sifa kama Living Waters wenyeji Upendo Nkone,GUG Dancers na More Than Enough Band.

Mkuu huyo wa wilaya...

 

11 years ago

Michuzi

BI MWANAMKAA ABDULRAHAMAN AZINDUA VITABU VIWILI KWA WATOTO NA WAKUBWA

VITABU VIMEZINDULIWA ZANZIBAR TAREHE 14.7.2014.  NI VITABU VYAKE VYA KWANZA KUVITUNGA,KITABU CHA "MAMU NA MUNA" (KWA WATOTO) NA "MBONA KINYUME" (KWA WATU WAZIMA). MTUNZI NI BI.  MWANAMKAA ABDULRAHAMAN AMBAYE NI MWANASHERIA NA MRAJIS WA ARDHI ZANZIBAR  Mwalimu mkuu chuo cha kiislamu Zanzibar shekh Muhidin Ahmed ambae ni mgeni rasmi akizindua vitabu hivyoBi. Mwanamkaa Abdulrahman akielezea muhtasari kuhusu vitabu vyakeMwalimu mkuu chuo cha kiislamu Zanzibar shekh Muhidin Ahmed akisifia vitabu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani