Marekani na vifaa vipya
Maafisa wa Marekani wanaosaidia kuisaka ndege ya Malyasia iliyotoweka wanasema wanaelekea Magharibi mwa bahari ya Hindi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uEGWOZPeWg8/Vdx3FFqGUhI/AAAAAAAHz6M/wCeTqR7Y96U/s72-c/images.jpg)
KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI WATOA VIFAA VIPYA VYA KUPIMA MWENDO KASI
![](http://4.bp.blogspot.com/-uEGWOZPeWg8/Vdx3FFqGUhI/AAAAAAAHz6M/wCeTqR7Y96U/s200/images.jpg)
Aidha taarifa hiyo ilidai kuwa ili kuongeza ufanisi wa vifaa hivi wameelekeza askari wanaoshika vifaa hivyo wasivae sare...
10 years ago
Michuzi24 Sep
10 years ago
Dewji Blog16 Jan
Skylight Band wazidi kulitikisa jiji la Dar wasajili vifaa vipya akiwemo John Music
Kifaa kipya ndani ya Skylight Band John Music akiimba kwa hisia kaliii huku akipewa sapoti na Wenzake wa kwanza kushoto ni Baby na wa pili kutoka kushoto ni Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 na kulia ni Jessie
Wanaume wa shoka wa Skylight Band kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi wakionyesha...
10 years ago
GPLSHIGONGO AZINDUA VITABU VYAKE VIPYA MAREKANI
10 years ago
GPLSKYLIGHT BAND WAZIDI KULITIKISA JIJI LA DAR WASAJILI VIFAA VIPYA AKIWEMO JOHN MUSIC
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7taUsr6BzsA/U_TPUHqobFI/AAAAAAAGA-A/zUcptyRkvZE/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
TanTrade yapokea vifaa kutoka Taasisi ya Marekani ya USAID
![](http://3.bp.blogspot.com/-7taUsr6BzsA/U_TPUHqobFI/AAAAAAAGA-A/zUcptyRkvZE/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
10 years ago
CloudsFM22 Jan
MAREKANI NA UJERUMANI WATOA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA UJANGILI MBUGA YA SELOUS
Meneja wa Mbuga ya wanyama ya Selous, Benson Kibonde akimpatia maelezo kuhusu masalia ya injini ya mvuke iliyoachwa na Wajerumani, kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazao Nyalandu (kushoto), waziri huyo alipofika katika mbuga hiyo, kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupokeavifaa vya kukabiliana na ujangili vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya Mbuga ya Selous.
Maelezo kuhusu masalia hayo ya injini hiyo ya moshi iliyoachwa na wajerumani Benson Kibonge.
Waziri Nyalandu...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Marekani na Ujerumani waipa Tanzania vifaa vya kisasa kukabiliana na ujangili mbuga ya Selous
![](http://2.bp.blogspot.com/-6dmZbxSn4jE/VMA0542XlFI/AAAAAAAAse4/EknWe-__BIA/s1600/1.jpg)
Meneja wa Mbuga ya wanyama ya Selous, Benson Kibonde akimpatia maelezo kuhusu masalia ya injini ya mvuke iliyoachwa na Wajerumani, kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazao Nyalandu (kushoto), waziri huyo alipofika katika mbuga hiyo, kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupokeavifaa vya kukabiliana na ujangili vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya Mbuga ya Selous jana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-kzBLIkv22Xg/VMA04mS_WdI/AAAAAAAAsew/Hfe5v9TrobU/s1600/2.jpg)
Maelezo kuhusu masalia hayo ya injini hiyo ya moshi iliyoachwa na wajerumani Benson Kibonge.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZrejrydhGgw/VMA07Io56RI/AAAAAAAAsfA/HWCNFzTYRl8/s1600/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo20 Jul
MSAADA WA USAFIRISHAJI WA VIFAA VYA KIJAMII KUTOKA WASHINGTON, SEATTLE MAREKANI KWENDA ZANZIBAR
![](http://pimg.tradeindia.com/02112047/b/1/10x10-Used-Empty-Container.jpg)
Napenda kuchukua nafasi hii adhimu mbele yenu kuandika mada yangu tukufu kama ilivyotanjwa hapo juu.
Kwa niaba yangu binafsi, Wazanzibari na Watanzania wote kwa ujumla waliopo hapa Washington State na Nchini Marekani napenda kutumia nafasi ya kutoa maelezo ya vifaa vilivyopo hivi sasa katika Storage zetu kwa hatua kuvisafirisha kutoka Bandari ya Seattle hadi Zanzibar.
Vifaa hivi vimekusanywa na mimi kwa mashirikiano wafadhili mbali mbali waliojitolea kwa ajili ya kusaidia juhudi za...