MSAADA WA USAFIRISHAJI WA VIFAA VYA KIJAMII KUTOKA WASHINGTON, SEATTLE MAREKANI KWENDA ZANZIBAR
Ndugu Zangu
Napenda kuchukua nafasi hii adhimu mbele yenu kuandika mada yangu tukufu kama ilivyotanjwa hapo juu.
Kwa niaba yangu binafsi, Wazanzibari na Watanzania wote kwa ujumla waliopo hapa Washington State na Nchini Marekani napenda kutumia nafasi ya kutoa maelezo ya vifaa vilivyopo hivi sasa katika Storage zetu kwa hatua kuvisafirisha kutoka Bandari ya Seattle hadi Zanzibar.
Vifaa hivi vimekusanywa na mimi kwa mashirikiano wafadhili mbali mbali waliojitolea kwa ajili ya kusaidia juhudi za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s72-c/PIX1.jpg)
Waziri Mukangara apokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Serikali ya China
![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s1600/PIX1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baIwmGbi0_k/Xtjy8wA6qoI/AAAAAAALsng/jQ552wQ3gpcUsvQgGlALDRu0NyU-v_MCACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0044.jpg)
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA KUTOKA AFRICAB
Na Said Mwishehe ,Michuzi TV
KATIKA kuendelea kukabiliana na virusi vya Corona nchini, SerikaIi kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imepokea msaada wa matanki 100 kutoka kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme ya AFRICAB maalumu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi na wanavyuo jijini Dar es Salaam kunawa mikono ili kukabiliana na janga la homa mapato inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akipokea na kisha kukabidhi matanki hayo yenye thamani ya Sh. Milioni 50, Waziri wa Elimu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--fdhWpI7sJQ/Xucxc8xZ5wI/AAAAAAALt38/l3GZfr4DzT4Xy0yTrtLPDAaVkzpwPTNOQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI SHULE TATU ZA AWALI ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/--fdhWpI7sJQ/Xucxc8xZ5wI/AAAAAAALt38/l3GZfr4DzT4Xy0yTrtLPDAaVkzpwPTNOQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ymDSBAqDc5s/XudHLT54JNI/AAAAAAABMX4/tYonzY6O51sY5sHWYDvijLEPAWnwdqslQCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25283%2529.jpg)
NMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI WA SHULE YA AWALI KWA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-ymDSBAqDc5s/XudHLT54JNI/AAAAAAABMX4/tYonzY6O51sY5sHWYDvijLEPAWnwdqslQCLcBGAsYHQ/s400/1%2B%25283%2529.jpg)
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona
9 years ago
MichuziJUMUIYA YA MAAFISA AFYA ZANZIBAR YATOA MSAADA WA MAJI SAFI NA VIFAA TIBA, KAMBI YA WAGONJWA WA KIPINDUPINDU CHUMBUNI ZANZIBAR.
5 years ago
CCM BlogNMB YAKABIDHI MSAADA WA VIFAA VYA SHULE VYA SH. MIL 15 WILAYA YA UBUNGO
11 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI VYA SH. MIL 15 SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI
11 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI WA MAZINGIRA VYA SH MIL 15 MANISPAA YA ILALA