TanTrade yapokea vifaa kutoka Taasisi ya Marekani ya USAID
![](http://3.bp.blogspot.com/-7taUsr6BzsA/U_TPUHqobFI/AAAAAAAGA-A/zUcptyRkvZE/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Bibi Jacqueline Mneney Maleko akipokea Kompyuta, Vifaa vya Ofisi na Samani kutoka kwa Mwakilishi wa Taasisi ya Marekani ya USAID - East Africa Trade Hub,Bw. Peter Nash. Vifaa hivi ni kwa ajili ya kuanzisha rasmi Ofisi za Kamati za Ushirikiano Mipakani (Joint Border Committees) zilizoanzishwa kwenye mipaka 7 ambayo ni Namanga, Kasumulu, Tunduma, Rusumo, Kabanga, Mtukula na Sirari. Madhumuni yake ni kuimarisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo16 Sep
RT yapokea vifaa kutoka Finland
RIADHA Tanzania (RT) jana ilipokea jozi za viatu 450 zenye thamani ya Sh milioni 45 kutoka kwa wananchi wa Finland.
5 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA YAPOKEA MSAADA KUTOKA TAASISI YA MILELE ZANZIBAR FOUNDATION
NAIBU Waziri wa Afya Harusi Said Suleiman amewataka wananchi na Taasisi za kiraia kushirikiane na Serikali katika mapambano dhidi ya maradhi ya Corona.
Amesema mashirikiano ya pamoja kati ya wananchi na viongozi na kufuata maekezo yanayotolewa na wataalamu wa afya yatasaidia kushinda vita dhidi ya maradhi hayo.
Naibu Waziri wa Afya alitoa kauli hiyo baada ya kupokea msaada wa vifaa vya kujikinga na maradhi ya Corona kutoka Taasisi ya Milele...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200325-WA0024.jpg)
SERIKALI YAPOKEA TANI TATU YA VIFAA KUTOKA CHINA VYA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200325-WA0024.jpg)
Serikali ya Tanzania mepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Timu ya Zanzibar Heroes ya Marekani yapokea jezi kutoka kwa wahisani wa PBZ
Katika kilele cha kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Timu ya Zanzibar Heroes kupokea Jezi kutoa kwa wadhaminini wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ambazo jezi hizo zilitolewa na wageni rasmi walihudhuria katika sherehe hizo akiwemo Mh. Mwigulu Nchemba ambae ni Mbunge na naibu waziri wa fedha na Uchumi Tanzania bara na upande wa Zanzibar pamoja na Mhe. Dr. Mwinyihaji Makame mwakilishi na waziri wa nchi ofisi ya rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VzJr97GZtJY/VHiGDuI2y1I/AAAAAAAGz8M/6-c5GBWn8Es/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
Wizara ya Afya yapokea magari na vifaa vya afya kutoka WHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VzJr97GZtJY/VHiGDuI2y1I/AAAAAAAGz8M/6-c5GBWn8Es/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2bnS26_Ncdw/VHiGD3VabbI/AAAAAAAGz8Q/1d4gBai2jYU/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BF_38glYPMU/VHiGCzTb7fI/AAAAAAAGz8E/Y2DFOn3xxWc/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZztkjAutVk/XrqGH_zFycI/AAAAAAALp5k/ujTcKLWsf6oFgsGsEUppHnT-61p-LI_6ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.00.37%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MWANGA APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KUTOKA TAASISI YA DK MSUYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZztkjAutVk/XrqGH_zFycI/AAAAAAALp5k/ujTcKLWsf6oFgsGsEUppHnT-61p-LI_6ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.00.37%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DMUyNNQOEv4/XrqGIATjvzI/AAAAAAALp5o/dcrgPqnFaJ43OA0C9XhV7uAdLUBtt8UvgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.01.56%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jaezRZsZG5M/XrqGIXD_QVI/AAAAAAALp5s/CjCNy-Po5ykgCQMAV38Oun7qliZra1NewCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.03.00%2BPM.jpeg)
10 years ago
Vijimambo20 Jul
MSAADA WA USAFIRISHAJI WA VIFAA VYA KIJAMII KUTOKA WASHINGTON, SEATTLE MAREKANI KWENDA ZANZIBAR
![](http://pimg.tradeindia.com/02112047/b/1/10x10-Used-Empty-Container.jpg)
Napenda kuchukua nafasi hii adhimu mbele yenu kuandika mada yangu tukufu kama ilivyotanjwa hapo juu.
Kwa niaba yangu binafsi, Wazanzibari na Watanzania wote kwa ujumla waliopo hapa Washington State na Nchini Marekani napenda kutumia nafasi ya kutoa maelezo ya vifaa vilivyopo hivi sasa katika Storage zetu kwa hatua kuvisafirisha kutoka Bandari ya Seattle hadi Zanzibar.
Vifaa hivi vimekusanywa na mimi kwa mashirikiano wafadhili mbali mbali waliojitolea kwa ajili ya kusaidia juhudi za...
5 years ago
MichuziTAASISI YA ODO UMMY FOUNDATION YATOA VIFAA VYA USAFI KWA TAASISI KUBWA ZA DINI JIJINI TANGA