Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANDISHI WA HABARI NA MTUNZI WA VITABU AMEAGA DUNIA

  Mwandishi wa habari na mtunzi wa vitabu maarufu nchini Kenya, Profesa Ken Walibora amefariki dunia.
Prof Walibora aligongwa na gari katika barabara ya Landhies, jijini Nairobi Ijumaa na mwili wake umekuwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Taifa ya Kenyatta (KNH).
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Nation, Walibora hakuonekana tangu Ijumaa na familia yake ilikuwa ikimtafuta kwa siku kadhaa kabla ya kubaini kwamba alikuwa amegongwa na gari.
Walibora ni mmoja wa watunzi mashuhuri wa...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mwandishi mashuhuri wa riwaya nchini Kenya, Profesa Walibora ameaga dunia

Huzuni ya kumba tasnia ya uandishi na habari Afrika Mashariki

 

10 years ago

Michuzi

MTUNZI MKONGWE WA VITABU ZANZIBAR AZINDUA VITABU VITATU VYA HADITHI ZA KALE

Mtunzi mkongwe wa vitabu Zanzibar Bi. Fatma Moh’d Salim (Jinja) akionyesha vitabu vya hadithi za kale alivyovitunga, katika sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo zilizofanyika nyumbani kwake Chukwani Zanzibar. Mwandishi wa Habari wa Redio Annur Fm Kasim Khamis akimuuliza suali Bi. Fatma Jinja kuhusiana na utunzi wa vitabu vyake alivyo vizindua. Baadhi ya waalikwa waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa vitabu hivyo wakimskiliza Bi. Fatma Jinja (hayupo pichani) alipokuwa akitoa maelezo juu ya...

 

5 years ago

Michuzi

Tanzia : MWANDISHI WA HABARI ELIYA MBONEA AFARIKI DUNIA

Mwandishi wa Habari wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd inayochapisha Magazeti ya Mtanzania,Rai, Bingwa na Dimba pamoja na Mtanzania Digital bwana Eliya Mbonea amefariki dunia leo Jumatatu Aprili 6,2020 wakati akiendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es salaam.

Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa Habari mkoa wa Arusha (Arusha Press Club), Claude Gwandu amethibitisha taarifa za kifo cha Eliya Mbonea alipozungumza na Malunde 1 blog mchana huu.

"Chama cha Waandishi...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANDISHI WA HABARI WA STAR TV MBEYA FREDY BAKALEMWA AMEFARIKI DUNIA.


Mwandishi wa Habari wa Star Tv Fredy Bakalemwa enzi za uhai wake.Taarifa kamili tutawaletea hapa.

 

9 years ago

Michuzi

Mwandishi Mkongwe wa Habari za Michezo nchini Willie Chiwango afariki dunia.

Marehemu Willie Chiwango
Taarifa kutoka mtoto wa marehemu, Stephen Chiwango (61), zinasema mauti ya limfika baba yao jana saa 5:30 usiku katika hospitali ya Masana iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam alikokua amelazwa kwa matibabu na alikua akisumbuliwa na matatizo ya kichwa.Alisema kuwa mauti yalimkuta katika hospitalini hapo akifanyiwa vipimo zaidi ili kujua tatizo la mwandishi huyo ambaye chombo chake cha mwisho kukifanyia kazi ni Tanzania Standard Newspapers (TSN) akiwa ni Mhariri...

 

11 years ago

Michuzi

Mahojiano na Mtunzi wa Vitabu vya Utaalamu wa Mapishi Benn Haidari, kutoka Stockholm nchini Finland

Sikiliza AUDIO ya Mahojiano na Mtunzi wa Vitabu vya Utaalamu wa Mapishi Benn Haidari kutoka Stockholm nchini Finland. alipolonga na Swahilivilla.blog   Bofya  HAPA kwa ununuzi wa Vitabu vyake.

 

10 years ago

Michuzi

MWANDISHI WA HABARI MWANDAMIZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI NCHINI TBC FLORENCY DYAULI AMEFARIKI DUNIA LEO

MWANDISHI wa habari mwandamizi wa Shirika la Utangazaji nchini TBC FLORENCY DYAULI (Pichani enzi za uhai wake)amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua.
FRORENCE DYAULI amefariki dunia majira ya saa kumi alfajiri akiwa amelazwa katika hospitali ya RABININSIA MEMORIAL jijini  Dar es Salaam, ambako alikuwa akipata matibabu.
Dyauli alizaliwa  tarehe   27 mwezi wa saba mwaka 1961 na amefariki dunia tarehe   18/06/2015.Marehemu DYAULI alisoma shule ya msingi   CHANG’OMBE mwaka 1968 hadi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamziki wa Lingala Aurlus Mabele ameaga dunia

Mwanamziki wa nyimbo za Lingala Aurlus Mabele amefariki akiwa na umri wa mika 67

 

5 years ago

CCM Blog

MAMA MKOANI KATAVI AMEAGA DUNIA KWA KUUNGUA NA MOTO

Wananchi wa Kijiji cha Kasekese Mkoa wa Katavi wasaidi kuzima moto uliodaiwa kuwa kuna mpangaji moja (jina tumelihifadhi) aliyekuwa akiandaa kupika chakula huku chumbani humo kukiwa na mafuta ya petroli kwa maandalizi ya kwendanayo shambani alipokuwa anatarajia kuamkia huko shambani kwake.

Katika nyumba hiyo yenye vyumba tisa vya wapangaji nyumba ya bwana Visent Emanuel ambapo chanzo cha habari kilichotufikia Juni 3, 2020, Mpangaji huyo alitoka nje kujiokoa na baada ya kutoa vyombo lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani