MWANDISHI WA HABARI WA STAR TV MBEYA FREDY BAKALEMWA AMEFARIKI DUNIA.
Mwandishi wa Habari wa Star Tv Fredy Bakalemwa enzi za uhai wake.Taarifa kamili tutawaletea hapa.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FoXM2FnK_zQ/VYKNZpH4D4I/AAAAAAAHg0U/csDQYrhM8p0/s72-c/IMG-20150618-WA0000%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
MWANDISHI WA HABARI MWANDAMIZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI NCHINI TBC FLORENCY DYAULI AMEFARIKI DUNIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-FoXM2FnK_zQ/VYKNZpH4D4I/AAAAAAAHg0U/csDQYrhM8p0/s320/IMG-20150618-WA0000%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
FRORENCE DYAULI amefariki dunia majira ya saa kumi alfajiri akiwa amelazwa katika hospitali ya RABININSIA MEMORIAL jijini Dar es Salaam, ambako alikuwa akipata matibabu.
Dyauli alizaliwa tarehe 27 mwezi wa saba mwaka 1961 na amefariki dunia tarehe 18/06/2015.Marehemu DYAULI alisoma shule ya msingi CHANG’OMBE mwaka 1968 hadi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1h9iMRfujWY/Xnttc8kNpfI/AAAAAAACJXo/kzaK77p61PkkDHHrMDFkELkNmug63cO3wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200325_173641_145.jpg)
ALIYEKUWA AFISA HABARI WA KLABU YA SIMBA ASHA MUHAJI AMEFARIKI DUNIA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-1h9iMRfujWY/Xnttc8kNpfI/AAAAAAACJXo/kzaK77p61PkkDHHrMDFkELkNmug63cO3wCLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200325_173641_145.jpg)
Aliyekuwa afisa habari wa Simba SC na mwandishi wa habari za michezo, Asha Muhaji (pichani), amefariki dunia mchana wa leo, Jumatano.
Asha (50) amekutwa na mauti wakati anaendelea na matibabu katika hospitali ya Hindu Mandali iliyopo jijini Dar es Salaam.
Mdogo wa marehemu, Habibu Kaumo alithibitisha kifo cha dada yake kuwa kilitokana na kusumbulia na TB ya ngozi iliyogundulika baada ya kufanyiwa vipimo juzi Jumanne.
Alisema kuwa marehemu mara kadhaa alikuwa akiumwa,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SbLSspYVqnk/XpbugczVcII/AAAAAAAC3Ho/sIog_i83j5APc3885MdChcDeEqbG6xGsgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWANDISHI WA HABARI NA MTUNZI WA VITABU AMEAGA DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SbLSspYVqnk/XpbugczVcII/AAAAAAAC3Ho/sIog_i83j5APc3885MdChcDeEqbG6xGsgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Prof Walibora aligongwa na gari katika barabara ya Landhies, jijini Nairobi Ijumaa na mwili wake umekuwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Taifa ya Kenyatta (KNH).
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Nation, Walibora hakuonekana tangu Ijumaa na familia yake ilikuwa ikimtafuta kwa siku kadhaa kabla ya kubaini kwamba alikuwa amegongwa na gari.
Walibora ni mmoja wa watunzi mashuhuri wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Zn2K31XQJTM/XotFEOR9m3I/AAAAAAALmN8/dJmeQ9zeCeInzDDVcDnMS1GcjTjWAjo-QCLcBGAsYHQ/s72-c/71409d3e-6145-4986-8495-94edea68abd3.jpg)
Tanzia : MWANDISHI WA HABARI ELIYA MBONEA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Zn2K31XQJTM/XotFEOR9m3I/AAAAAAALmN8/dJmeQ9zeCeInzDDVcDnMS1GcjTjWAjo-QCLcBGAsYHQ/s640/71409d3e-6145-4986-8495-94edea68abd3.jpg)
Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa Habari mkoa wa Arusha (Arusha Press Club), Claude Gwandu amethibitisha taarifa za kifo cha Eliya Mbonea alipozungumza na Malunde 1 blog mchana huu.
"Chama cha Waandishi...
10 years ago
VijimamboMWANDISHI WA HABARI KALULUNGA AJITOSA MBIO ZA UBUNGE MBEYA VIJIJINIâ€
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u7y6v6WMEvI/VmEvhIpZFuI/AAAAAAAAmw4/NPAePFu1KwA/s72-c/SI_20151204_091154.jpg)
Mwandishi Mkongwe wa Habari za Michezo nchini Willie Chiwango afariki dunia.
![](http://1.bp.blogspot.com/-u7y6v6WMEvI/VmEvhIpZFuI/AAAAAAAAmw4/NPAePFu1KwA/s640/SI_20151204_091154.jpg)
Taarifa kutoka mtoto wa marehemu, Stephen Chiwango (61), zinasema mauti ya limfika baba yao jana saa 5:30 usiku katika hospitali ya Masana iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam alikokua amelazwa kwa matibabu na alikua akisumbuliwa na matatizo ya kichwa.Alisema kuwa mauti yalimkuta katika hospitalini hapo akifanyiwa vipimo zaidi ili kujua tatizo la mwandishi huyo ambaye chombo chake cha mwisho kukifanyia kazi ni Tanzania Standard Newspapers (TSN) akiwa ni Mhariri...
10 years ago
MichuziMAMIA WAMUAGA MWANDISHI WA HABARI WA NEW HABARI 2006 LTD, MAREHEMU INOCENT MUNYUKU
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GWkEmfliqss/default.jpg)
BANZA STONE AMEFARIKI DUNIA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/11252759_1270562932958122_6544080775110454403_n.jpg)
Mwanamuziki wa muziki wa bendi Ramadhan Masanja maarufu kama ‘Banza stone’ amefariki dunia nyumbani kwao hivi punde baada ya kuugua kwa muda mrefu.R.I.P Banza Stone
9 years ago
GPLWAZIRI ABDALLAH KIGODA AMEFARIKI DUNIA
Waziri wa viwanda na Biashara, Abdalah Kigoda (Mb) enzi za uhai wake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania