Tanzia : MWANDISHI WA HABARI ELIYA MBONEA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Zn2K31XQJTM/XotFEOR9m3I/AAAAAAALmN8/dJmeQ9zeCeInzDDVcDnMS1GcjTjWAjo-QCLcBGAsYHQ/s72-c/71409d3e-6145-4986-8495-94edea68abd3.jpg)
Mwandishi wa Habari wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd inayochapisha Magazeti ya Mtanzania,Rai, Bingwa na Dimba pamoja na Mtanzania Digital bwana Eliya Mbonea amefariki dunia leo Jumatatu Aprili 6,2020 wakati akiendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa Habari mkoa wa Arusha (Arusha Press Club), Claude Gwandu amethibitisha taarifa za kifo cha Eliya Mbonea alipozungumza na Malunde 1 blog mchana huu.
"Chama cha Waandishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u7y6v6WMEvI/VmEvhIpZFuI/AAAAAAAAmw4/NPAePFu1KwA/s72-c/SI_20151204_091154.jpg)
Mwandishi Mkongwe wa Habari za Michezo nchini Willie Chiwango afariki dunia.
![](http://1.bp.blogspot.com/-u7y6v6WMEvI/VmEvhIpZFuI/AAAAAAAAmw4/NPAePFu1KwA/s640/SI_20151204_091154.jpg)
Taarifa kutoka mtoto wa marehemu, Stephen Chiwango (61), zinasema mauti ya limfika baba yao jana saa 5:30 usiku katika hospitali ya Masana iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam alikokua amelazwa kwa matibabu na alikua akisumbuliwa na matatizo ya kichwa.Alisema kuwa mauti yalimkuta katika hospitalini hapo akifanyiwa vipimo zaidi ili kujua tatizo la mwandishi huyo ambaye chombo chake cha mwisho kukifanyia kazi ni Tanzania Standard Newspapers (TSN) akiwa ni Mhariri...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EccNZVgBBFA/Xqf0LRQZFRI/AAAAAAAC4Gs/ltneWgFeSfsurKMh2os4RsjMEi2VOmpKgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TANZIA: MDOGO LOWASSA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EccNZVgBBFA/Xqf0LRQZFRI/AAAAAAAC4Gs/ltneWgFeSfsurKMh2os4RsjMEi2VOmpKgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mdogo wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa anayefahamika kwa kwa jina la Bernard Lowassa, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Aghakhan jijini Dar es salaam.
Mtoto wa Waziri Mkuu huyo Mstaafu Fred Lowassa amethibitisha hayo
"Ni kweli ndugu yetu Bernard lowassa amefariki yeye ni Baba yangu mdogo, na alikuwa amelazwa Aga Khan na hapa familia tunaenda hospitalini kwa ajili ya kukutana."- Amesema
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64nNr72EkJu3Ql9hsYaoTy68FdAUBVlBwWET6evsHQ4O44OIMqLZUQytpFFVFxjyAxFxoJfyFYibXI4y5XQNSMZP/bonge.jpg)
TANZIA: ABDUL BONGE AFARIKI DUNIA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pYo728rS*VFWk2IGboNo2HD8b*BmSa8XNJVJf9rvXU*FIoIf4rbb*3a3Zva4oFlfXQh0UwMYDFCiNQYIM3PFsbQ*Yz0nlT0O/mtikil.png)
TANZIA: MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI DUNIA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K9eXdH6QQb0/XkUfEtR8KII/AAAAAAAA8cI/uwEiH4zkw2wqQv4Hbe9pHsgEElKmCkWQwCNcBGAsYHQ/s72-c/EQpN5uaX0AA3Wva.jpg)
TANZIA: IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K9eXdH6QQb0/XkUfEtR8KII/AAAAAAAA8cI/uwEiH4zkw2wqQv4Hbe9pHsgEElKmCkWQwCNcBGAsYHQ/s640/EQpN5uaX0AA3Wva.jpg)
Taarifa zilizothibitishwa na mtoto wake, Sauda Simba Kilumanga zinasema Iddi Simba amefariki katika Hospitali ya JKCI alipokuwa akipatiwa matibabu.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-04xR0xbS2N8/Vd202igA5EI/AAAAAAAH0NQ/y5TanGPhing/s72-c/IMG-20150826-WA0004.jpg)
TANZIA: Geoffrey Boardington Gondwe afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-04xR0xbS2N8/Vd202igA5EI/AAAAAAAH0NQ/y5TanGPhing/s320/IMG-20150826-WA0004.jpg)
Ataangwa kesho(27.08.2015) kwake Kunduchi saa 6 mchana. Mazishi yatafanyika katika makaburi ya Kinondoni saa kumi jioni.
Sisi tulimpenda, lakini BWANA alipenda zaidi. Jina lake BWANA na lihimidiwe...
AMINA!
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4JqfRRmxIXw/VS-ox8xNGqI/AAAAAAAHRhE/SyakqBndwTc/s72-c/2011-10-26%2B12.31.38.jpg)
TANZIA: CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-4JqfRRmxIXw/VS-ox8xNGqI/AAAAAAAHRhE/SyakqBndwTc/s1600/2011-10-26%2B12.31.38.jpg)
Kabla ya kufikwa na mauti, Che Mundugwao aliugua na kulazwa katika hospitali ya Muhimbili kwa muda mrefu.
Che Mundugwao alikuwa anashikiliwa katika gereza la Segerea kwa kukosa dhamana ya kesi yake, ya kukutwa na pasi za kusafiria 12 za watu tofauti tofauti bila kuwa na maelezo yake.
Taarifa zaidi zitawajia baadae...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5ML8XfOenEKC3IugBNVWBXJuLW*Qe6VqhOQLeVEoDFZ0pIFKEXPYEqa1cO4bCOOViRNOwyHdUfH5nXaNUz*FSvq/ChigweleCheMundugwao.jpg)
TANZIA: CHIGWELE CHE MUNDUGWAO AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s72-c/IMG_3959.jpg)
TANZIA: MKUU WA WILAYA YA KALAMBO AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-dmn9z09CrCw/UID8p0Oy01I/AAAAAAAACgA/Me-WAUmgxas/s640/IMG_3959.jpg)