Mwandishi mashuhuri wa riwaya nchini Kenya, Profesa Walibora ameaga dunia
Huzuni ya kumba tasnia ya uandishi na habari Afrika Mashariki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-SbLSspYVqnk/XpbugczVcII/AAAAAAAC3Ho/sIog_i83j5APc3885MdChcDeEqbG6xGsgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWANDISHI WA HABARI NA MTUNZI WA VITABU AMEAGA DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-SbLSspYVqnk/XpbugczVcII/AAAAAAAC3Ho/sIog_i83j5APc3885MdChcDeEqbG6xGsgCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Prof Walibora aligongwa na gari katika barabara ya Landhies, jijini Nairobi Ijumaa na mwili wake umekuwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Taifa ya Kenyatta (KNH).
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Nation, Walibora hakuonekana tangu Ijumaa na familia yake ilikuwa ikimtafuta kwa siku kadhaa kabla ya kubaini kwamba alikuwa amegongwa na gari.
Walibora ni mmoja wa watunzi mashuhuri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-998-TAmQO38/U_AhM6tuvRI/AAAAAAAGAHI/NpT80uklLVE/s72-c/Chase_writer.jpg)
mjue James Hadley Chase, mwandishi wa riwaya za kusisimua aliyefanya wengi wapende kusoma vitabu
Na Sultani Kipingo
Wengi tumesoma vitabu vya James Hadley Chase, mwandishi wa riwaya za kusisimua maarufu sana wa Uingereza, hasa wakati tukipambana na kujua lugha ya Kiingereza wakati wa shule kidato cha kwanza hadi cha nne, na hata high school.Nadhani kwa hili hata Profesa Mbele ataniunga mkono ninaposema kuwa utamaduni wa kupenda kusoma huanzia kwenye kuwepo kwa vitabu vya kusisimua kama vya Chase. Na wengi tuliua ndege wawili kwa jiwe moja – yaani kupenda kusoma na pia kujifunza...
![](http://3.bp.blogspot.com/-998-TAmQO38/U_AhM6tuvRI/AAAAAAAGAHI/NpT80uklLVE/s1600/Chase_writer.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u7y6v6WMEvI/VmEvhIpZFuI/AAAAAAAAmw4/NPAePFu1KwA/s72-c/SI_20151204_091154.jpg)
Mwandishi Mkongwe wa Habari za Michezo nchini Willie Chiwango afariki dunia.
![](http://1.bp.blogspot.com/-u7y6v6WMEvI/VmEvhIpZFuI/AAAAAAAAmw4/NPAePFu1KwA/s640/SI_20151204_091154.jpg)
Taarifa kutoka mtoto wa marehemu, Stephen Chiwango (61), zinasema mauti ya limfika baba yao jana saa 5:30 usiku katika hospitali ya Masana iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam alikokua amelazwa kwa matibabu na alikua akisumbuliwa na matatizo ya kichwa.Alisema kuwa mauti yalimkuta katika hospitalini hapo akifanyiwa vipimo zaidi ili kujua tatizo la mwandishi huyo ambaye chombo chake cha mwisho kukifanyia kazi ni Tanzania Standard Newspapers (TSN) akiwa ni Mhariri...
5 years ago
BBC27 Apr
Ken Walibora: How Kenya's 'king' of Swahili writing inspired me
Ken Walibora died on 10 April and left behind a generation of Kenyans who grew up on his books.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FoXM2FnK_zQ/VYKNZpH4D4I/AAAAAAAHg0U/csDQYrhM8p0/s72-c/IMG-20150618-WA0000%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
MWANDISHI WA HABARI MWANDAMIZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI NCHINI TBC FLORENCY DYAULI AMEFARIKI DUNIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-FoXM2FnK_zQ/VYKNZpH4D4I/AAAAAAAHg0U/csDQYrhM8p0/s320/IMG-20150618-WA0000%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
FRORENCE DYAULI amefariki dunia majira ya saa kumi alfajiri akiwa amelazwa katika hospitali ya RABININSIA MEMORIAL jijini Dar es Salaam, ambako alikuwa akipata matibabu.
Dyauli alizaliwa tarehe 27 mwezi wa saba mwaka 1961 na amefariki dunia tarehe 18/06/2015.Marehemu DYAULI alisoma shule ya msingi CHANG’OMBE mwaka 1968 hadi...
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
Mwanamziki wa Lingala Aurlus Mabele ameaga dunia
Mwanamziki wa nyimbo za Lingala Aurlus Mabele amefariki akiwa na umri wa mika 67
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Ken walibora: Jinsi mfalme wa Kiswahili Kenya alivyonipatia msukumo maishani
Mwandishi wa vitabu nchini Kenya, Ken Walibora ambaye alizikwa wiki iliyopita, ameacha kizazi kipya cha mashabiki wake wanaopenda kusoma vitabu vyake
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-d1dgkVMpf6A/XtqblqFFnJI/AAAAAAAAnvc/LhvPI_4x8ikPI8TAp40aMVbMULIsOTnQwCLcBGAsYHQ/s72-c/8798e1d4-4759-481b-8e44-afb5bdd0ccfa.jpg)
MAMA MKOANI KATAVI AMEAGA DUNIA KWA KUUNGUA NA MOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-d1dgkVMpf6A/XtqblqFFnJI/AAAAAAAAnvc/LhvPI_4x8ikPI8TAp40aMVbMULIsOTnQwCLcBGAsYHQ/s400/8798e1d4-4759-481b-8e44-afb5bdd0ccfa.jpg)
Katika nyumba hiyo yenye vyumba tisa vya wapangaji nyumba ya bwana Visent Emanuel ambapo chanzo cha habari kilichotufikia Juni 3, 2020, Mpangaji huyo alitoka nje kujiokoa na baada ya kutoa vyombo lakini...
5 years ago
BBCSwahili16 Feb
Muigizaji nyota, muhusika katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa ameaga dunia
Nikita Pearl Waligwa aliyeshiriki filamu iliyotolewa 2016, kuhusu mchezaji chess mwerevu wa Uganda alipatikana na uvimbe kwenye ubongo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania