Muigizaji nyota, muhusika katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa ameaga dunia
Nikita Pearl Waligwa aliyeshiriki filamu iliyotolewa 2016, kuhusu mchezaji chess mwerevu wa Uganda alipatikana na uvimbe kwenye ubongo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DJTjivD1pnE/XkmX3MjbW-I/AAAAAAALdpM/dVnYLRQ1B0cOA2xCmcymVybduVlNK8rWwCLcBGAsYHQ/s72-c/_110922490_nikita.png.jpg)
Muigizaji nyota katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa afariki Dunnia.
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWIGIZAJI mdogo kabisa Nikita Pearl Waligwa aliyeng'ara katika filamu ya "Queen of Katwe" amefariki dunia akiwa na miaka 15 na kwa mujibu w vyombo vya habari nchini Uganda vimeripoti kuwa Nikita alipata tatizo la uvimbe kwenye ubongo.
Katika Filamu hiyo iliyotoka mwaka 2016 inamwelezea mtu mwenye maarifa kutoka maeneo ya makazi duni nchini Uganda aliyekuwa anacheza mchezo wa Chess.
Filamu hiyo ambayo ni kisa cha kweli Cha Phiona Mutesi ambaye alianza kucheza chess...
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Nikita Pearl Waligwa: Nyota wa Queen of Katwe wamuomboleza muigizaji mwenzao
5 years ago
BBC17 Feb
Nikita Pearl Waligwa: Queen of Katwe stars pay tribute
5 years ago
BBC16 Feb
Uganda's Queen of Katwe star Nikita Pearl Waligwa dies aged 15
5 years ago
Al Jazeera English17 Feb
Uganda: Queen of Katwe star Nikita Pearl Waligwa dies aged 15
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vTiH9EdcK0A/VNn4HfokBOI/AAAAAAAAenU/moMXVyN_1WQ/s72-c/slim.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia
Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.
Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.
James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.
Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”
Aliongeza: “Sidhani...
10 years ago
Michuzi30 Oct
TANZIA:MUIGIZAJI WA FILAMU NCHINI MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA.
![](http://api.ning.com/files/6ovfEf3pFLf*oQbPHC2by35YY*-FqtUtx43oX2zjiLFVY1pwJUFZx0ybIu4NqUB-EugE6XBhRf77Wd5iVW1126brFH2sCsWA/R.I_.P_.jpg?width=650)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UNLS4gVrmPE/U4T4pbwaFbI/AAAAAAAFloI/hewEhdu0fZM/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Msanii nyota wa filamu za Bongo movies Rachel Haule "Recho" afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/-UNLS4gVrmPE/U4T4pbwaFbI/AAAAAAAFloI/hewEhdu0fZM/s1600/unnamed+(6).jpg)