Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muigizaji nyota, muhusika katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa ameaga dunia

Nikita Pearl Waligwa aliyeshiriki filamu iliyotolewa 2016, kuhusu mchezaji chess mwerevu wa Uganda alipatikana na uvimbe kwenye ubongo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Muigizaji nyota katika filamu ya Queen of Katwe Nikita Pearl Waligwa afariki Dunnia.


Na Leandra Gabriel, Michuzi TV

MWIGIZAJI mdogo kabisa Nikita Pearl Waligwa aliyeng'ara katika filamu ya "Queen of Katwe" amefariki dunia akiwa na miaka 15 na kwa mujibu w vyombo vya habari nchini Uganda vimeripoti kuwa Nikita alipata tatizo la uvimbe kwenye ubongo.

Katika Filamu hiyo iliyotoka mwaka 2016 inamwelezea mtu mwenye maarifa kutoka maeneo ya makazi duni nchini Uganda aliyekuwa anacheza mchezo wa Chess.

Filamu hiyo ambayo ni kisa cha kweli Cha Phiona Mutesi ambaye alianza kucheza chess...

 

5 years ago

BBCSwahili

Nikita Pearl Waligwa: Nyota wa Queen of Katwe wamuomboleza muigizaji mwenzao

Pearl Waigwa alipatikana na uvimbe katika ubongo na kufariki nchini Uganda akiwa na umri wa miaka 15

 

5 years ago

BBC

Nikita Pearl Waligwa: Queen of Katwe stars pay tribute

Nikita Pearl Waligwa had been diagnosed with a brain tumour and died in Uganda at the age of 15.

 

5 years ago

BBC

Uganda's Queen of Katwe star Nikita Pearl Waligwa dies aged 15

The child actress in the 2016 Disney film about a Ugandan chess prodigy had a brain tumour.

 

5 years ago

Al Jazeera English

Uganda: Queen of Katwe star Nikita Pearl Waligwa dies aged 15

Uganda: Queen of Katwe star Nikita Pearl Waligwa dies aged 15  Al Jazeera EnglishUganda's Queen of Katwe star Nikita Pearl Waligwa dies aged 15  BBC NewsDisney Star Nikita Pearl Waligwa Dies Aged 15  LADbibleNikita Pearl Waligwa, Actor in Disney’s ‘Queen of Katwe,’ Dies at 15  Variety“Queen of Katwe” Actor Nikita Pearl Waligwa Has Died  Teen VogueView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Bongo5

Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia

Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.

Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.

James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.

Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”

Aliongeza: “Sidhani...

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA:MUIGIZAJI WA FILAMU NCHINI MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA.

Taarifa zilizotufikia katika chumba cha habari ya Globu ya Jamii zinaeleza kuwa Msanii wa filamu, Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Globu ya Jamii bado inafuatilia kwa karibu kujua chanzo cha kifo cha Muigizaji huyu mahiri wa filamu hapa nchini.Baadhi ya filamu alizowahi kuigiza Mzee Mnento ni Hero of the church, Dar to Lagos, Fake pastor n.k Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.

 

11 years ago

Michuzi

Msanii nyota wa filamu za Bongo movies Rachel Haule "Recho" afariki dunia

Msanii wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ (pichani chini), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es slaaam.  Baadhi ya wasanii wa Bongo Movies wakiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya taarifa za msiba wa msanii mwenzao, Rachel Haule 'Recho' mapema leo. Habari zilizothibitishwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere, zimesema kuwa Recho alikwenda Muhimbili jana kujifungua ambapo mara baada ya kujifungua mtoto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani