Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ken walibora: Jinsi mfalme wa Kiswahili Kenya alivyonipatia msukumo maishani

Mwandishi wa vitabu nchini Kenya, Ken Walibora ambaye alizikwa wiki iliyopita, ameacha kizazi kipya cha mashabiki wake wanaopenda kusoma vitabu vyake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC

Ken Walibora: How Kenya's 'king' of Swahili writing inspired me

Ken Walibora died on 10 April and left behind a generation of Kenyans who grew up on his books.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ijenge msukumo wa kuenzi Kiswahili

Katika makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia.

 

9 years ago

GPL

JINSI TABIA INAVYOWEZA KUKUFANIKISHA AU KUKUFELISHA MAISHANI

Michael Jackson. Kama vile mmea unavyoweza kupandwa kwenye mbolea ukaota, kukua na baadaye kuzongwa na magugu ambayo huudumaza na hatimaye kama hayatang’olewa kuua, ndivyo ndoto za mwanadamu na mafanikio yanayoweza kujengewa tabia njema ya kukua lakini baadaye tabia mbaya ambazo huja na mafanikio zikaua kila kitu. Withney Houston. Ili mwanadamu afanikiwe maishani mwake ni lazima awe na tabia pamoja na mwenendo unaovuta au...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwandishi mashuhuri wa riwaya nchini Kenya, Profesa Walibora ameaga dunia

Huzuni ya kumba tasnia ya uandishi na habari Afrika Mashariki

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu jinsi unavyoweza kutumia kushindwa kwako kama kichocheo cha kupata ushindi maishani

Je umewahi kushindwa kutenda jambo lilikuwa muhimu sana kwa maendeleo ya maisha yako? Je hali hii huwa inatokea mara kwa mara au mara chache sana? Inapotokea huwa unafanya nini? Huwa unakata tamaa kabisa na kuacha kujaribu tena? Kabla hujatafakari sana kuhusu suala hili hebu soma taarifa yangu fupi kuhusu suala hili.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi raia wa China wanavyobaguliwa Kenya

Huku dunia ikiendelea kukabiliana na kusambaa kwa virusi vya corona katika mataifa tofauti, raia wa China na bara Asia wanakabiliwa na ubaguzi wa rangi.

 

9 years ago

Bongo5

Mtangazaji wa habari za Kiswahili wa KTN ya Kenya, Ahmed Darwesh afariki dunia

BxBRwxyIUAAvopI

Mtangazaji mahiri wa habari za Kiswahili katika kituo cha runinga cha KTN cha Kenya, Ahmed Darwesh amefariki dunia.

BxBRwxyIUAAvopI

Darwesh alikutwa akiwa amepoteza maisha kwenye kochi nyumbani kwake Jumatatu jioni. Alikuwa anatarajiwa kwenda kusoma habari ya saa moja jioni.

Mtangazaji huyo alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda.

Kifo chake kimewasikitisha wengi hasa kwakuwa alikuwa akipendwa kwa usomaji wake wa habari za Kiswahili kwenye kituo hicho.

Anatarajiwa kuzikwa Jumanne hii.

Jiunge...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani