Serikali ijenge msukumo wa kuenzi Kiswahili
Katika makala zangu kwa muda mrefu uliopita, nilieleza juu makosa mbalimbali yanayotokea katika magazeti ya Kiswahili hapa nchini. Nilieleza kuwa kipimo cha kujitathmini kwetu kama kweli tunathamini utamaduni wetu ni jinsi tunavyoenzi mila na desturi zetu na hasa lugha yetu ya Kiswahili ambayo ni urithi tuliopata kutoka kwa wazee wetu waliotutangulia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Ken walibora: Jinsi mfalme wa Kiswahili Kenya alivyonipatia msukumo maishani
10 years ago
Mwananchi07 Nov
MKAMA: Serikali ijenge mazingira kwa wazawa kumiliki DART
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Serikali ijenge mazingira rafiki kwa majengo yote ya kusomea ili kuwasaidia walemavu — TASI
Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) nchini, TASI, Ziada Msembo (kulia) akimkabidhi mwalimu wa wanafunzi walemavu wakiwakiwemo Albino shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Donard Bilali vitabu vya sheria zinazowahusu walemavu.
Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) nchini, Ziada Msembo akimkabidhi losheni ya kujikinga na miale ya jua mwanafunzi mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko.
Katibu wa chama cha watu wenye...
5 years ago
MichuziSerikali kuendelea kuenzi mchango wa radio katika kufanikisha maendeleo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sWN_1dZgEKY/XkVvU503Y-I/AAAAAAALdSM/w9yJU96tvCUEQLqiclCGSqgRcUcHpXA2gCLcBGAsYHQ/s72-c/f1da07a81a96f39df85e55d3e7d35d26.jpg)
SERIKALI YA TANZANIA ITAENDELEA KUENZI KAZI NZURI INAYOFANYWA NA REDIO NCHINI NA DUNIANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-sWN_1dZgEKY/XkVvU503Y-I/AAAAAAALdSM/w9yJU96tvCUEQLqiclCGSqgRcUcHpXA2gCLcBGAsYHQ/s640/f1da07a81a96f39df85e55d3e7d35d26.jpg)
Leo tasnia ya habari nchini hususani redio, inaungana na wanahabari wengine duniani katika Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Redio Duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka ifikapo Februari 13.
Natumia fursa hii kuwapongeza wadau wote wa redio nchini kwa kuendelea kutumia chombo hicho kuwajulisha Watanzania matukio mbalimbali yanayotokea hapa nchini na duniani kwa ujumla.
Aidha, nawahakikishia wadau kuwa Serikali ya Tanzania itaendelea kuenzi mchango na kazi nzuri inayofanywa na redio hapa...
10 years ago
Mwananchi09 Jul
WB: Tanzania ijenge viwanda kwanza
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gFubjzDw5Xg/Xk_jUGanFzI/AAAAAAALesU/yHUPLq7wlh0DDYM5EBg5AavvKaHueFn2QCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Serikali yasisitiza matumizi sahihi ya Kiswahili
Na Eleuteri Mangi, WHUSM, Dodoma.
Katika hali ya kawaida herufi huunda neno na maneno huunda sentensi nayo sentensi huunda kikundi cha maneno. Kwa kawaida neno ni tamko mojawapo miongoni mwa mengi ambalo mtu hulitamka katika mchakato wa mazungumzo unaopelekea iwepo misemo ambayo ni fungu la maneno yenye maana mahususi ili kutoa fundisho kwa jamii.
Kwa mantiki hiyo, semi ni maneno yanayozungumzwa na watu yanayoleta maana mahususi katika lugha inayozungumzwa katika eneo fulani. Kiswahili ikiwa...
11 years ago
BBCSwahili18 Jul
Pesa si msukumo ulionileta QPR-Ferdinand
10 years ago
MichuziBASATA yatoa msukumo Tamasha la Krismasi
Katibu Mtendaji wa Basata, Godfrey Mungereza alisema kwa mwenendo huo bora unaofanywa na Msama anatoa wito kuendeleza mwenendo huo ili kuisaidia jamii. Mungereza alisema Msama anafanikisha hayo kwa sababu anaipenda jamii...