Serikali ijenge mazingira rafiki kwa majengo yote ya kusomea ili kuwasaidia walemavu — TASI
Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) nchini, TASI, Ziada Msembo (kulia) akimkabidhi mwalimu wa wanafunzi walemavu wakiwakiwemo Albino shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Donard Bilali vitabu vya sheria zinazowahusu walemavu.
Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) nchini, Ziada Msembo akimkabidhi losheni ya kujikinga na miale ya jua mwanafunzi mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko.
Katibu wa chama cha watu wenye...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU
10 years ago
Mwananchi07 Nov
MKAMA: Serikali ijenge mazingira kwa wazawa kumiliki DART
10 years ago
Habarileo01 Jul
Wabunifu wakumbushwa majengo rafiki wa mazingira
SERIKALI imetoa wito kwa wataalamu wa majengo na wabunifu wa majenzi kuwa wabunifu zaidi kwa kuzingatia matumizi ya vifaa ambavyo vitakuwa rafiki kwa mazingira na matumizi sahihi ya nishati katika majengo.
9 years ago
MichuziSHIVYAWATA WATAKA MAZINGIRA RAFIKI YA ELIMU KWA SERIKALI YA AWAMU YA TANO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7bnfQ02Gv-Y/VWKpjE1__LI/AAAAAAAC4-c/QNVFJFdWJZg/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Serikali yajipanga kuboresha mazingira rafiki ya hedhi Salama kwa wanafunzi
![](http://3.bp.blogspot.com/-7bnfQ02Gv-Y/VWKpjE1__LI/AAAAAAAC4-c/QNVFJFdWJZg/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Kauli mbiu ya mwaka huu Ikiwa "Usisite Kuzungumzia Hedhi". Wengine kushoto ni Mwandaaji wa maadhimisho hayo...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Msigara: Nitaunga mkono serikali yenye mazingira rafiki
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Frederick Msigara, amesema hana uhakika kama muundo wa serikali tatu unaweza kuwa njia pekee ya ufumbuzi wa kero walizonazo wananchi. Msigara alitoa kauli hiyo...
9 years ago
Habarileo24 Nov
Waomba miundombinu rafiki ya kusomea
SHIRIKA la Wanawake katika Sheria na Maendeleo barani Afrika (WiLDAF) na wadau mbalimbali wanaopinga ukatili wa kijinsia wameiomba serikali kuboresha miundombinu kwa watoto wa shule iwe rafiki ili kupunguza vitendo vya ukatili.
9 years ago
StarTV30 Dec
Majengo machakavu changamoto kwa walemavu Chuo Cha Ufundi Yombo
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia watu wenye ulemavu Dokta Abdallah Possi ameeleza kusikitishwa na hali aliyoikuta katika Chuo cha Ufundi Yombo kwa watu wenye ulemavu.
Katika ziara yake ya kwanza tangu ateuliwa kushika wadhifa huo, Dokta Possi amekuta uchakavu wa majengo ya chuo hicho sambamba na kumegwa kwa eneo la ukubwa wa ekari Tano.
Dk. Possi ambaye alifika chuoni hapo alianza kwa kukagua maeneo yanayozunguka chuo hicho na kujionea hali halisi ya chuo hicho kilichodaiwa...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Rwanda yazindua magari rafiki kwa mazingira