Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHIVYAWATA WATAKA MAZINGIRA RAFIKI YA ELIMU KWA SERIKALI YA AWAMU YA TANO

 Mwenyekiti wa Taifa wa Shirikisho la Vyama Watu wenye Ulemavu Tanzania(SHIVYSWATA) Amon Anastaz Mpanju akizungumza na wandishi wa habari hawapo pichani juu ya kumpongeza  Rais   John Pombe Joseph Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kuyajali  na kuyapa kipaumbele masuala ya watanzania wenye ulemavu kwa uteuzi wa Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi Vijana na Ajira  Dk.Abdallah Possy, kulia ni Mwekahazina Alias Masamaki Waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa Taifa wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MAAFISA MAWASILIANO WA WIZARA YA ELIMU SAYANSI NA TEKNOLOJIA WATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO INAYOFADHILIWA NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO - MAEKANI

 Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala na Fedha (DVC(AF) Prof. Ernest Kihanga akitoa ufafanuzi kwa Maafisa Mawasiliano wa Wizara ya Elimu, kuhusu maendeleo ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa, mradi mpya ambao unahusisha ujenzi wa vyumba vya madarasa, kumbi za mikutano na ofisi za watumishi, eneo la Maekani Chuo Kikuu Mzumbe.  Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Utawala na Fedha (DVC(AF) Prof. Ernest Kihanga akitoa  maelezo kwa Maafisa Mawasiliano wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia  kuhusu ujenzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yajipanga kuboresha mazingira rafiki ya hedhi Salama kwa wanafunzi

Mratibu wa huduma ya Maji, Afya na Usafi wa mazingira shuleni kutoka wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Bi Theresia Kuiwite (Katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya mwaka huu ya Siku ya Hedhi Duniani yatakayofanyika kwa mara ya kwanza nchini Tanzania tarehe 28 Mei, yatakayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. 
Kauli mbiu ya mwaka huu Ikiwa "Usisite Kuzungumzia Hedhi". Wengine kushoto ni Mwandaaji wa maadhimisho hayo...

 

9 years ago

Michuzi

CCM YAIPONGEZA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KASI ILIYOANZA NAYO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM),Ndugu  Abdulrahman O.Kinana(Pichani) akizungumza na Waandishi wa Habari juu ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kuipongeza Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Rais,Dkt.John Pombe Magufuli,Makamu wa Rais,Mhe.Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu,Mhe.Kassim Majaliwa kwa kasi nzuri waliyoanza nayo katika utekelezaji wa Ilani ya Chama hicho.  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akifafanua zaidi jambo mbele ya waandishi wa habari leo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ijenge mazingira rafiki kwa majengo yote ya kusomea ili kuwasaidia walemavu — TASI

DSC00606

Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) nchini, TASI, Ziada Msembo (kulia) akimkabidhi mwalimu wa wanafunzi walemavu wakiwakiwemo Albino shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Donard Bilali  vitabu vya sheria zinazowahusu walemavu.

DSC00609

Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) nchini, Ziada Msembo akimkabidhi losheni ya kujikinga na miale ya jua mwanafunzi mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko.

DSC00603

Katibu wa chama cha watu wenye...

 

9 years ago

CCM Blog

MAWAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO WAAPISHWA

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Dk. Hussein Mwinyi kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ,Ikulu jijini Dar es Salaam.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Wiliam Lukuvi kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ikulu jijini Dar es Salaam.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Waziri wa Sheria na Katiba.
  Rais wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msigara: Nitaunga mkono serikali yenye mazingira rafiki

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Frederick Msigara, amesema hana uhakika kama muundo wa serikali tatu unaweza kuwa njia pekee ya ufumbuzi wa kero walizonazo wananchi. Msigara alitoa kauli hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kashfa tano zimeitesa Serikali ya awamu ya nne

Ndugu wasomaji wangu leo nikiwa hapa hapa Tanzania baada ya mwaka wa 2014 kugeuka na sasa tuko 2015, ni mwaka ambao kwanza kwa maombi yangu na kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu tuliouona mwaka 2015 tujiandae kwa mengi makubwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Serikali ya awamu ya tano itakuwa ya viwanda

Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amesema iwapo atapewa ridhaa ya kuwa rais atahakikishwa Tanga inakuwa mji wa viwanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani