Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunifu wakumbushwa majengo rafiki wa mazingira

SERIKALI imetoa wito kwa wataalamu wa majengo na wabunifu wa majenzi kuwa wabunifu zaidi kwa kuzingatia matumizi ya vifaa ambavyo vitakuwa rafiki kwa mazingira na matumizi sahihi ya nishati katika majengo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Serikali ijenge mazingira rafiki kwa majengo yote ya kusomea ili kuwasaidia walemavu — TASI

DSC00606

Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) nchini, TASI, Ziada Msembo (kulia) akimkabidhi mwalimu wa wanafunzi walemavu wakiwakiwemo Albino shule ya msingi Ikungi mchanganyiko, Donard Bilali  vitabu vya sheria zinazowahusu walemavu.

DSC00609

Katibu wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) nchini, Ziada Msembo akimkabidhi losheni ya kujikinga na miale ya jua mwanafunzi mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi Ikungi mchanganyiko.

DSC00603

Katibu wa chama cha watu wenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunifu majengo wapewa somo

WABUNIFU wa majengo na wakadiriaji majenzi na wadau  kutoka sekta binafsi wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika semina mbalimbali ili kupata elimu ya kutosha na kunolewa juu ya kukabiliana na mabadiliko...

 

10 years ago

Habarileo

Bilal awapa somo wabunifu wa majengo

Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal.MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka wabunifu wa majengo wa nchi za Afrika ya Mashariki na Kati kubuni mbinu mbadala katika ujenzi wa majengo zenye kulinda mazingira na kupunguza gharama za umeme na maji.

 

11 years ago

Habarileo

Bodi ya wabunifu majengo yapewa changamoto

NAIBU Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahman Kaniki, ameipa changamoto bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuhakikisha majengo yanayojengwa nchini yanakuwa bora na salama kwa makazi ya watu na kuepusha majanga ya majengo kuporomoka kama ilivyowahi kutokea.

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA USAJILI WA WABUNIFU MAJENGO NA WAKADIRIAJI MAJENZI KUFANYIKA JIJINI DAR, SEPTEMBA 18

Na Dotto Mwaibale 
 BODI ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) katika kipindi cha kuanzia mwaka 1998 hadi sasa imezifungia kampuni 86 kufanyakazi ya ukandarasi baada ya kushindwa kufuata sheria za ujenzi. 
 Hayo yalielezwa na Msajili wa bodi hiyo Jehad Jehad wakati akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mkutano wa usajili wa wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi utakaofanyika ukumbi wa mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Septemba...

 

9 years ago

GPL

FAHAMU MAZINGIRA RAFIKI YA KUJISOMEA

Kila kitu kina mazingira yake ya kuweza kukifanya kwa ufanisi ili kutoa matokeo yaliyokusudiwa kwa asilimia kubwa; vivyo hivyo zoezi la kujisomea kwa wanafunzi pia hupaswa kuandaliwa mazingira rafiki ili kufanya ubongo upokee mambo mengi kwa wakati mmoja na hatimaye kuweza kufaulu vizuri katika masomo yao. Wanafunzi wengi hujisomea bila kujali mazingira ya kufanya hivyo jambo ambalo huwafanya washindwe kufaulu mitihani yao vizuri...

 

9 years ago

Habarileo

Wahimiza mazingira rafiki uchaguzi mkuu

CHAMA cha Walemavu Mkoa wa Mwanza (CHAWATA) kimeiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuweka mazingira rafiki kwa watu wote wenye ulemavu katika vituo vya kupigia kura, ili wapate haki yao ya kupiga kura.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rwanda yazindua magari rafiki kwa mazingira

Rwanda yazindua magari yanayotumia umeme ambayo ni rafiki kwa mazingira ya nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi 2015; wanawake watengenezewe mazingira rafiki ya kushindana

Wakati uchaguzi wa vyama vingi uliporejeshwa mwaka 1995, ni wanawake wachache sana walionyesha nia ya kuwania nafasi za uongozi, iwe za udiwani, ubunge na hata urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani