FAHAMU MAZINGIRA RAFIKI YA KUJISOMEA
![](http://api.ning.com:80/files/ZFVQGyC-7KiO-nOQB1YSe*UNqVV*o76zkhAGZ0SB16OE9mbpj98AqWi0fmn8mC9j4IsiKk8kR4VwJmakALlddwV*HI4kSzML/studyincanadapic1.jpg)
Kila kitu kina mazingira yake ya kuweza kukifanya kwa ufanisi ili kutoa matokeo yaliyokusudiwa kwa asilimia kubwa; vivyo hivyo zoezi la kujisomea kwa wanafunzi pia hupaswa kuandaliwa mazingira rafiki ili kufanya ubongo upokee mambo mengi kwa wakati mmoja na hatimaye kuweza kufaulu vizuri katika masomo yao. Wanafunzi wengi hujisomea bila kujali mazingira ya kufanya hivyo jambo ambalo huwafanya washindwe kufaulu mitihani yao vizuri...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Fahamu namna unavyoweza kunufaika kutokana na kupenda kujisomea
10 years ago
Habarileo01 Jul
Wabunifu wakumbushwa majengo rafiki wa mazingira
SERIKALI imetoa wito kwa wataalamu wa majengo na wabunifu wa majenzi kuwa wabunifu zaidi kwa kuzingatia matumizi ya vifaa ambavyo vitakuwa rafiki kwa mazingira na matumizi sahihi ya nishati katika majengo.
9 years ago
Habarileo16 Aug
Wahimiza mazingira rafiki uchaguzi mkuu
CHAMA cha Walemavu Mkoa wa Mwanza (CHAWATA) kimeiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuweka mazingira rafiki kwa watu wote wenye ulemavu katika vituo vya kupigia kura, ili wapate haki yao ya kupiga kura.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Rwanda yazindua magari rafiki kwa mazingira
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Msigara: Nitaunga mkono serikali yenye mazingira rafiki
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Frederick Msigara, amesema hana uhakika kama muundo wa serikali tatu unaweza kuwa njia pekee ya ufumbuzi wa kero walizonazo wananchi. Msigara alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Uchaguzi 2015; wanawake watengenezewe mazingira rafiki ya kushindana
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Mazingira yasiyo rafiki yakwamisha masomo mabinti wanaobalehe
Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida na mkuu wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda,akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani, matumizi ya vyoo bora duniani na usafi wa mazingira kwa mkoa wa Singida.Maadhimisho hayo yamefanyika katika kijiji cha Mgongo kata Shelui wilaya ya Iramba.
Na Nathaniel Limu, Iramba
WANAFUNZI wa kike ambao wamefikia umri wa kubalehe, kipindi cha hedhi hulazimika kuacha masomo na kukaa nyumbani takribani siku 60 za masomo kwa mwaka;...
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Ifahamu njia mpya ya kuzika mwili ambayo ni rafiki kwa mazingira
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7bnfQ02Gv-Y/VWKpjE1__LI/AAAAAAAC4-c/QNVFJFdWJZg/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Serikali yajipanga kuboresha mazingira rafiki ya hedhi Salama kwa wanafunzi
![](http://3.bp.blogspot.com/-7bnfQ02Gv-Y/VWKpjE1__LI/AAAAAAAC4-c/QNVFJFdWJZg/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Kauli mbiu ya mwaka huu Ikiwa "Usisite Kuzungumzia Hedhi". Wengine kushoto ni Mwandaaji wa maadhimisho hayo...