Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mazingira yasiyo rafiki yakwamisha masomo mabinti wanaobalehe

DSC02363

Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida na mkuu wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda,akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani, matumizi ya vyoo bora duniani na usafi wa mazingira kwa mkoa wa Singida.Maadhimisho hayo yamefanyika katika kijiji cha Mgongo kata Shelui wilaya ya Iramba.

Na Nathaniel Limu, Iramba

WANAFUNZI  wa kike ambao wamefikia umri wa kubalehe, kipindi  cha hedhi hulazimika kuacha masomo  na kukaa nyumbani takribani siku 60 za masomo kwa mwaka;...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MASOMO YAKWAMISHA NDOA YA SHIJA

Stori: Shani Ramadhani
Msanii wa filamu, Deogratias Shija ‘Shija’ ameeleza kuwa, mpaka sana angekuwa ameshafunga ndoa ila kinachokwamisha mambo ni mchumba wake anayemalizia masomo. Msanii wa filamu, Deogratias Shija ‘Shija’. Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Shija alisema anajua baadhi ya mashabiki na marafiki zake wanashangaa kuona kimya kuhusiana na suala la yeye kufunga ndoa ila akasema, wavute...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajira na mazingira yasiyo na dawa za kulevya huua Panya Road

Nayakumbuka sana yale majadiliano tuliokuwa nayo miaka ile ya shule za msingi na sekondari katika juhudi za walimu kutufanya tujue Kiingereza. Moja ya mada ninayokumbuka ni ‘town life is better than village life’, yaani maisha ya mjini ni bora kuliko yale ya kijijini. Sikumbuki mimi nilikuwa napendelea upande upi kati ya maisha ya mjini au kijijini.

 

10 years ago

Michuzi

KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WALEMAVU KITAIFA IRINGA , SERIKALI YA TANZANIA YAPIGA MARUFUKU UJENZI WA MAJENGO YASIYO RAFIKI NA WALEMAVU

 Waziri  Lukuvi  akimkabidhi  mwanafunzi  wa shule ya Msingi Kipera Rahel Mwikonzi cheti  cha ushiriki mzuri wa siku ya  walemavumwenyekiti wa baraza la watu wenye ulemavu Prof Edward BagandashwaKamishina  wa ustawi  wa jamii Bw Dunford Makala akitoa salam zakeWalemavu  nchini  wakiwa katika maandamano  leo  wakati wa kilele  cha siku ya  walemavu duniani kwa Tanzania maadhimisho hayo yamefanyika  mkoa  wa Iringa,kushoto ni mkalimani  wa  kujitolea  ambae ni Mtangazaji wa radio  Nuru Fm Bw ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali imeendelea kujenga mazingira wezeshi kwa ajili ya mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s)

IMG_0214 (1)

Mkurugenzi wa Kitengo cha Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Bw. Marcel Katemba akiongea na waandishi wa habari( Hawapo pichani)kuhusu juhudi zinazofanywa na serikali katika kuyajengea mazingira mazuri ya ufanyaji kazi Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s) ili kuongeza ushiriki na kutoa mchango wao katika kuleta maendeleo katika  jamii, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jiijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa...

 

9 years ago

GPL

FAHAMU MAZINGIRA RAFIKI YA KUJISOMEA

Kila kitu kina mazingira yake ya kuweza kukifanya kwa ufanisi ili kutoa matokeo yaliyokusudiwa kwa asilimia kubwa; vivyo hivyo zoezi la kujisomea kwa wanafunzi pia hupaswa kuandaliwa mazingira rafiki ili kufanya ubongo upokee mambo mengi kwa wakati mmoja na hatimaye kuweza kufaulu vizuri katika masomo yao. Wanafunzi wengi hujisomea bila kujali mazingira ya kufanya hivyo jambo ambalo huwafanya washindwe kufaulu mitihani yao vizuri...

 

9 years ago

Habarileo

Wahimiza mazingira rafiki uchaguzi mkuu

CHAMA cha Walemavu Mkoa wa Mwanza (CHAWATA) kimeiomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuweka mazingira rafiki kwa watu wote wenye ulemavu katika vituo vya kupigia kura, ili wapate haki yao ya kupiga kura.

 

10 years ago

Habarileo

Wabunifu wakumbushwa majengo rafiki wa mazingira

SERIKALI imetoa wito kwa wataalamu wa majengo na wabunifu wa majenzi kuwa wabunifu zaidi kwa kuzingatia matumizi ya vifaa ambavyo vitakuwa rafiki kwa mazingira na matumizi sahihi ya nishati katika majengo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rwanda yazindua magari rafiki kwa mazingira

Rwanda yazindua magari yanayotumia umeme ambayo ni rafiki kwa mazingira ya nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi 2015; wanawake watengenezewe mazingira rafiki ya kushindana

Wakati uchaguzi wa vyama vingi uliporejeshwa mwaka 1995, ni wanawake wachache sana walionyesha nia ya kuwania nafasi za uongozi, iwe za udiwani, ubunge na hata urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani