Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASOMO YAKWAMISHA NDOA YA SHIJA

Stori: Shani Ramadhani
Msanii wa filamu, Deogratias Shija ‘Shija’ ameeleza kuwa, mpaka sana angekuwa ameshafunga ndoa ila kinachokwamisha mambo ni mchumba wake anayemalizia masomo. Msanii wa filamu, Deogratias Shija ‘Shija’. Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Shija alisema anajua baadhi ya mashabiki na marafiki zake wanashangaa kuona kimya kuhusiana na suala la yeye kufunga ndoa ila akasema, wavute...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mazingira yasiyo rafiki yakwamisha masomo mabinti wanaobalehe

DSC02363

Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida na mkuu wa wilaya ya Iramba,Yahaya Nawanda,akizungumza kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani, matumizi ya vyoo bora duniani na usafi wa mazingira kwa mkoa wa Singida.Maadhimisho hayo yamefanyika katika kijiji cha Mgongo kata Shelui wilaya ya Iramba.

Na Nathaniel Limu, Iramba

WANAFUNZI  wa kike ambao wamefikia umri wa kubalehe, kipindi  cha hedhi hulazimika kuacha masomo  na kukaa nyumbani takribani siku 60 za masomo kwa mwaka;...

 

11 years ago

GPL

SHIJA SASA ATAMANI NDOA NA WASTARA

Stori: Gladness Mallya MSANII wa filamu Bongo, Deogratius Shija amefunguka kuwa anatamani sana kumuoa msanii mwenzake, Wastara Juma lakini anaamini kikwazo kitakuwa ni dini. Msanii wa filamu Bongo, Deogratius Shija. Akistorisha na paparazzi wetu, Shija alisema tangu kabla msanii huyo hajaolewa na aliyekuwa mumewe, Marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’, alikuwa anampenda lakini bahati haikuwa yake hivyo kwa sasa anatamani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC kuwasaka waliokacha masomo kukimbilia ndoa

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mpanda, Paza Mwamlima, amewaagiza wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mpanda Ndogo iliyoko Tarafa ya Kabungu,  wilayani Mpanda  kuhakikisha watoto wao  walioacha shule na...

 

10 years ago

Mtanzania

Escrow yakwamisha miradi

Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
SAKATA la uchotwaji wa fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow, limechangia kukwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya mwaka 2014/15.
Hatua hiyo imesababisha hadi kufikia Machi mwaka huu, ni asilimia 38 tu ya miradi ndiyo iliyotekelezwa.
Hayo yalibainishwa jana na Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dk. Philip Mpango, wakati akihojiwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti.
Kamati hiyo iliitaka Tume ya Mipango kutoa sababu za kutotekelezeka kwa miradi huku...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yakwamisha shambulio la Kigaidi

Waziri wa Mambo ya ndani wa Ufaransa Bernard Cazeneuve amesema vyombo vya usalama nchini humo vimefanikiwa kuwakamata watu wane wanaodaiwa kupanga njama za kigaidi

 

10 years ago

Mwananchi

Akidi yakwamisha Bunge la Eala

Kutotimia kwa akidi ya wabunge wa Rwanda kulisimamisha kwa dakika 15 kikao cha Bunge la Afrika Mashariki (Eala) kilichoanza jana jijini hapa.

 

9 years ago

Habarileo

Teknolojia yakwamisha wachimbaji wadogo

WACHIMBAJI wadogo mkoani hapa wamesema ukosefu wa teknolojia ya uchimbaji imesababisha kuchimbachimba hovyo bila kujua kama eneo husika linaweza kuwa na madini wanayotafuta, jambo ambalo linaweza kuwa na athari ya kimazingira.

 

10 years ago

Mwananchi

Victoria yakwamisha udhibiti biashara haramu

Ziwa Victoria limetajwa kuwa kikwazo katika udhibiti wa vyakula na dawa zisizofaa kutumika kwa binadamu, likidaiwa kutumika kupitisha bidhaa haramu kwenye mipaka isiyo rasmi.

 

10 years ago

Mwananchi

Migogoro yakwamisha sekta ya mifugo nchini

Waziri wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk Titus Kamani amesema licha ya Tanzania kuwa na uwezo wa kunufaika na ufugaji, bado haijaweza kufanya hivyo kutokana na changamoto ya wafugaji na wakulima.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani