Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufaransa yakwamisha shambulio la Kigaidi

Waziri wa Mambo ya ndani wa Ufaransa Bernard Cazeneuve amesema vyombo vya usalama nchini humo vimefanikiwa kuwakamata watu wane wanaodaiwa kupanga njama za kigaidi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIJANA ‘AJISALIMISHA’ KUHUSIANA NA SHAMBULIO LA KIGAIDI UFARANSA

Mtuhumiwa  Cherif Kouachi (kushoto) na ndugu yake Said Kouachi. Polisi wakiendesha oparesheni ya kuwakamata watuhumiwa katika  kitongoji cha  Croix-Rouge eneo la Reims, kaskazini mwa Ufaransa.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Tunisia yatibua shambulio la kigaidi

Mamlaka nchini Tunisia imesema kuwa imewakamata wapiganaji 16 na kutibua shambulio ambalo huenda lingekuwa kubwa kuwahi kutokea mwezi huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Canada yakumbwa na shambulio la Kigaidi

Mwanajeshi mmoja ameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa nje na ndani ya Bunge la Canada mjini Ottawa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama: Shambulio la California lilikuwa la kigaidi

Rais Barack Obama amesema shambulio la San Bernardino wiki jana lilikuwa la kigaidi lakini akasema waliotekeleza mauaji hawakuwa na uhusiano na makundi kutoka nje.

 

10 years ago

GPL

SHAMBULIO LA KIGAIDI LAUA 2 NA KUJERUHI 30 KENYA

WATU wawili wamepoteza maisha huku takribani 30 wakijeruhiwa baada ya watu wapatao watano wanaodaiwa kufunika nyuso zao kushambulia Chuo Kikuu cha Garrissa kilichopo Kaskazini mashariki mwa Kenya. Shambulio hilo linadaiwa kufanyika mapema leo wakati waumini wa dini ya Kiislamu wakiwa katika sala yao ya alfajiri. Watu walioshuhudia tukio hilo wameeleza kuwa kuna majeruhi wengi ndani ya chuo hicho. Wapiganaji hao wanadaiwa kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shambulio la kigaidi laua nchini Kenya

Watu wenye silaha wameshambulia mji wa Wajir kaskazini mwa Kenya na kuua mtu mooja na wengine wanne wamejeruhiwa

 

10 years ago

GPL

KENYA YAADHIMISHA MWAKA 1 WA SHAMBULIO LA KIGAIDI

Baadhi ya majeruhi wakitolewa eneo la maduka ya Westgate baada ya shambulio hilo. WANANCHI wa Kenya leo wanaadhimisha mwaka mmoja tangu shambulizi la kigaidi katika maduka ya Westgate ambapo takriban watu 67 walipoteza maisha wakiwemo washukiwa wanne wa shambulio hilo.
Shambulio hilo…

 

9 years ago

Bongo5

Wateja wa Mall mpya ya Nairobi waondolewa kwa hofu ya shambulio la kigaidi

Wateja waliokuwa ndani ya mall mpya na kubwa iliyopo jijini Nairobi Kenya waliondolewa jana baada ya mtu aliyehisiwa kuwa na bomu la kutengeneza kuonwa na walinzi. Polisi walidai kuwa watu watatu walikamatwa kufuatia tukio hilo kwenye Garden City Mall iliyojengwa kwa dola milioni 250. Mall za Kenya zimekuwa kwenye ulinzi wa hali ya juu tangu […]

 

10 years ago

GPL

JESHI NCHINI KENYA LATOA MAJINA YA WAHUSIKA KATIKA SHAMBULIO LA KIGAIDI LA MANDERA

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Gedion M Kimilu. JESHI la Polisi nchini Kenya leo limetoa majina ya watuhumiwa wawili wanaosakwa kwa kuhusika katika shambulio la kigaidi la Mandera ambao ni Mohamed Mohamud aka Dulyadin aka Gamadheere kutoka Garissa na Ahmed Iman kutoka Majengo jijini Nairobi. Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi nchini Kenya leo. Katika taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani