SHIJA SASA ATAMANI NDOA NA WASTARA
![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwnZUd79YSRowrAiZwK2yXsEs26bnRfcOQ4ZKv2yzy6moor1pJ0k5z*-l4rEa*I9TGS4VQmQKSA8lhEPZvEt9Tqn/SHIJA.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya MSANII wa filamu Bongo, Deogratius Shija amefunguka kuwa anatamani sana kumuoa msanii mwenzake, Wastara Juma lakini anaamini kikwazo kitakuwa ni dini. Msanii wa filamu Bongo, Deogratius Shija. Akistorisha na paparazzi wetu, Shija alisema tangu kabla msanii huyo hajaolewa na aliyekuwa mumewe, Marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’, alikuwa anampenda lakini bahati haikuwa yake hivyo kwa sasa anatamani...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JgWHSTt60esFFMuqpM4kBHEF*f6AJALfdQplSXdOOYOcWGK9KKnUET*7HZKgiup*WEBQ1Nu*SiWdbn*tjBYkaGGcbI6t1T1R/wastara.jpg?width=650)
WASTARA ATESEKA, ATAMANI KUUA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOoahnSaMCwz8koZ4YOJAkRgHNDrQh91-kkwVH*-3wdKu09x0oa9PK6U3rNfIoY1*6dHbowu*3VPtEaTRJxFNOne/wasarapdf.jpg)
WASTARA AMUUMBUA SHIJA KWA UONGO!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOI*DRuNlM0NAsGr5-9nZEkKX7x9M*hqYFceFIyYrk5fhM3*bwLsKZLPzLvomwDKovlHt6qeL*1GGWcgza4ALjmb/pendo.jpg?width=650)
PENDO WA MAISHA PLUS ATAMANI NDOA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXKIC7bU-7R7MgWqD92GgSt*pheBPgDYYw1RQmYkXiAHzIf-tg2giJhjHUhZAY4sHOaiPYFteo0**4Tpow6w-xy4/shija.jpg?width=650)
MASOMO YAKWAMISHA NDOA YA SHIJA
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Wastara ndoa tena!
Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma.
Na Waandishi Wetu
BAHATI ILIYOJE! Baada ya hivi karibuni mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kutimiza miaka mitatu kaburini, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kwamba anatarajia kuolewa tena kwani ameshapata chaguo sahihi.
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko nyumbani kwao Tabata Barakuda jijini Dar, Wastara alisema wakati wa msiba wa mumewe aliweka nadhiri kwamba ataolewa baada ya miaka mitatu hivyo kwa sasa yuko tayari kuingia kwenye ndoa...
9 years ago
Bongo Movies04 Oct
Ndoa ya Wastara, Bond Baada ya Uchaguzi
SASA imethibitika kuwa ndoa kati ya muigizaji nyota wa filamu Wastara Juma na Mtangazaji Bond Suleiman itafanyika mara baada ya uchaguzi mkuu ujao.
Bond ambaye pia ni muigizaji, aliliambia gazeti hili kuwa wawili hao wameshafikia muafaka wa kuoana lakini Wastara yupo bize na kampeni, kwani baada ya kuanguka katika ubunge wa viti maalum kwa tiketi ya CCM, sasa anazunguka mikoani na Samia Suluhu ambaye ni mgombea mwenza wa John Magufuli jambo ambalo limesababisha washindwe kufanya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZhVsrLD0LniPfaDFIHalfuwhjfddscduEGI7YVAx*-tejFJz0J7kz5PrxRqxh3DIwNhB8kcLCicjsWu5EK3FOzVw-1--X-0L/Wastara.jpg?width=650)
NDOA WASTARA, BOND BAADA YA UCHAGUZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyIAqoEpzad2Pd14kNSJSlouCxoFi0GAlOSlre*AWXgUNFEcEyWng96ZTwMT*GG9GbEnchbM*WhQRa7xHXh*IZ-/wastara.jpg?width=650)
WASTARA AMPA SOMO LA NDOA LUCY KOMBA
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Fahamu historia fupi ya mwanadada Wastara Sajuki tangu alipoanza kuigiza mpaka sasa
Historia fupi ya mwanadada wa bongo movies - Wastara Sajuki. BONYEZA HAPA kuisoma.