Wastara ndoa tena!
Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma.
Na Waandishi Wetu
BAHATI ILIYOJE! Baada ya hivi karibuni mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kutimiza miaka mitatu kaburini, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kwamba anatarajia kuolewa tena kwani ameshapata chaguo sahihi.
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko nyumbani kwao Tabata Barakuda jijini Dar, Wastara alisema wakati wa msiba wa mumewe aliweka nadhiri kwamba ataolewa baada ya miaka mitatu hivyo kwa sasa yuko tayari kuingia kwenye ndoa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
WASTARA APATA AJALI TENA
9 years ago
GPL
WASTARA KUKATWA MGUU TENA!
10 years ago
GPL
NDOA WASTARA, BOND BAADA YA UCHAGUZI
10 years ago
Bongo Movies04 Oct
Ndoa ya Wastara, Bond Baada ya Uchaguzi
SASA imethibitika kuwa ndoa kati ya muigizaji nyota wa filamu Wastara Juma na Mtangazaji Bond Suleiman itafanyika mara baada ya uchaguzi mkuu ujao.
Bond ambaye pia ni muigizaji, aliliambia gazeti hili kuwa wawili hao wameshafikia muafaka wa kuoana lakini Wastara yupo bize na kampeni, kwani baada ya kuanguka katika ubunge wa viti maalum kwa tiketi ya CCM, sasa anazunguka mikoani na Samia Suluhu ambaye ni mgombea mwenza wa John Magufuli jambo ambalo limesababisha washindwe kufanya...
11 years ago
GPL
SHIJA SASA ATAMANI NDOA NA WASTARA
11 years ago
GPL
WASTARA AMPA SOMO LA NDOA LUCY KOMBA
10 years ago
GPL
WASTARA APATA AJALI TENA TABATA JIJINI DAR
11 years ago
GPL
DIDA NDOA TENA!
10 years ago
GPL
BELA: SITAKI TENA NDOA