WASTARA APATA AJALI TENA TABATA JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/8b9WEPYSkGIm9m66oF8zvnhSSQmDjrz0Crq8CFqM6klxFB1-tGPzFuR0M8FKBB1uKU0kBRNVnqJAipjkTR3HqenagdAP8sxf/WASTARA.jpg)
Wastara baada ya kupata ajali. MSANII wa filamu Bongo, Wastara Juma jana amepata tena ajali wakati akielekea nyumbani kwake maeneo ya Tabata-Bima jijini Dar es Salaam. Wastara alijigonga katika kioo cha mbele cha gari lake baada ya kutaka kuvaana na gari kubwa na kulazimika kufunga breki za ghafla akiwa hajafunga mkanda. Msanii huyo ameumia sehemu za usoni. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Wastara aliandika hivi: "DUA...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0FyRWJSednuOCqWZQ0SOeJjSBsugwLo2b*dqPRpyes1lUTu-jckuhFXxYwqaPSoLSbwCFhy83p685TSwaQPFAh/6wastaa.jpg)
WASTARA APATA AJALI TENA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIF7nj7T40MA4zRKCEYvIwlltgSUhKpOF-hErwovEMkk-IR7MEiMKzs66R6rJ*BnZ6lmBiQ3B1ErCxlk94ZU8nnU/MtotoSadamakiwaamejerehuliwamikononi.jpg?width=650)
MTOTO ANUSURIKA KUFA KWA AJALI TABATA-DAR
10 years ago
GPLMABOMU YATIKISA TABATA JIJINI DAR
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Mkurugenzi LHRC apata ajali Dar
11 years ago
Michuzi24 May
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s72-c/IMG-20141116-WA0006.jpg)
LORI LA MIZIGO LAGONGA BASI LA ABIRIA TABATA MATUMBI JIJINI DAR
![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s640/IMG-20141116-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dGVc0hTVm3k/VGmnk_KscAI/AAAAAAAAJ_0/673NkKR26C8/s1600/tabata%2B022.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YovtH7SM0Lw/VGmnnzoOlvI/AAAAAAAAKAE/qJd3edANcBA/s1600/tabata%2B023.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7c8qxTYZ_n8/VGmnr3q8VoI/AAAAAAAAKAU/ZpORng9bWqc/s1600/tabata%2B029.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fb4ppi5SZCE/VGmnm65bcFI/AAAAAAAAJ_8/l-Ho59pfkIY/s1600/tabata%2B024.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ynBtnJgU8II/U_nckkzQuAI/AAAAAAAAk-U/MhtliMJDKjo/s72-c/unnamed1.jpg)
Wawili wachoma moto kwa tuhuma za uwizi huko Tabata jijini Dar
Alisema kuwa walipokamatwa walipigwa na kisha kuchomwa moto.
"Matukio haya yamekuwa yakitokea mara kwa mara hapa Tabata na wezi wanaoiba kwa kutumia pikipiki wamekuwa ni kero kubwa sasa na kila wakikamatwa na kupelekwa vituoni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8X94VZFilN0/Vat255KUEhI/AAAAAAAHqf0/g7jyEpnTghg/s72-c/001.KINYEREZI.jpg)
SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION
![](http://3.bp.blogspot.com/-8X94VZFilN0/Vat255KUEhI/AAAAAAAHqf0/g7jyEpnTghg/s640/001.KINYEREZI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CZJ_E29v_Sw/Vat24fOSuVI/AAAAAAAHqfs/3_PpPUr9jVg/s640/002.KINYEREZI.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GbDhwa2eghfKLapbElRaSuAelF4kexA17QMPA4nOPLr10Mb4xsmfvbk20yoQghPFqV-3y16oQAr2Li6rkKvKcP2/001.KINYEREZI.jpg?width=650)
SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION