MABOMU YATIKISA TABATA JIJINI DAR
Askari wa jiji wakiwapakia wafanyabiashara kwenye ‘Karandinga’ ya askari polisi.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8b9WEPYSkGIm9m66oF8zvnhSSQmDjrz0Crq8CFqM6klxFB1-tGPzFuR0M8FKBB1uKU0kBRNVnqJAipjkTR3HqenagdAP8sxf/WASTARA.jpg)
WASTARA APATA AJALI TENA TABATA JIJINI DAR
Wastara baada ya kupata ajali. MSANII wa filamu Bongo, Wastara Juma jana amepata tena ajali wakati akielekea nyumbani kwake maeneo ya Tabata-Bima jijini Dar es Salaam.
Wastara alijigonga katika kioo cha mbele cha gari lake baada ya kutaka kuvaana na gari kubwa na kulazimika kufunga breki za ghafla akiwa hajafunga mkanda. Msanii huyo ameumia sehemu za usoni. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Wastara aliandika hivi: "DUA...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s72-c/IMG-20141116-WA0006.jpg)
LORI LA MIZIGO LAGONGA BASI LA ABIRIA TABATA MATUMBI JIJINI DAR
![](http://lh6.ggpht.com/-8_vL2PkOT3s/VGh9sOVZpuI/AAAAAAAAJ_o/wplRV52oKJE/s640/IMG-20141116-WA0006.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dGVc0hTVm3k/VGmnk_KscAI/AAAAAAAAJ_0/673NkKR26C8/s1600/tabata%2B022.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YovtH7SM0Lw/VGmnnzoOlvI/AAAAAAAAKAE/qJd3edANcBA/s1600/tabata%2B023.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7c8qxTYZ_n8/VGmnr3q8VoI/AAAAAAAAKAU/ZpORng9bWqc/s1600/tabata%2B029.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fb4ppi5SZCE/VGmnm65bcFI/AAAAAAAAJ_8/l-Ho59pfkIY/s1600/tabata%2B024.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ynBtnJgU8II/U_nckkzQuAI/AAAAAAAAk-U/MhtliMJDKjo/s72-c/unnamed1.jpg)
Wawili wachoma moto kwa tuhuma za uwizi huko Tabata jijini Dar
Vijana wawili wamechomwa moto katika eneo la Tabata Liwiti wakituhumiwa kuiba pochi ya mwanamke katika eneo hilo,Walioshuhudia tukio hilo walisema kuwa lilitokea asubuhi ya jana (Jumamosi) ambapo walikuwa watatu wakafukuzwa na watu mbalimbali.
Alisema kuwa walipokamatwa walipigwa na kisha kuchomwa moto.
"Matukio haya yamekuwa yakitokea mara kwa mara hapa Tabata na wezi wanaoiba kwa kutumia pikipiki wamekuwa ni kero kubwa sasa na kila wakikamatwa na kupelekwa vituoni...
Alisema kuwa walipokamatwa walipigwa na kisha kuchomwa moto.
"Matukio haya yamekuwa yakitokea mara kwa mara hapa Tabata na wezi wanaoiba kwa kutumia pikipiki wamekuwa ni kero kubwa sasa na kila wakikamatwa na kupelekwa vituoni...
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-m20M6DdFqRM/Vep1qRKJLdI/AAAAAAAAyjo/tyx7TGraZeE/s640/3.jpg)
HAPA KAZI TU YA MAMA SAMIA YATIKISA MAJIMBO YA UBUNGO, KINONDONI NA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wake wa kampeni aliofanya jana katika eneo la Msasani jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam.  Wananchi wakimshangilia mgombea ,wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, alipohutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam, jana.… ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8X94VZFilN0/Vat255KUEhI/AAAAAAAHqf0/g7jyEpnTghg/s72-c/001.KINYEREZI.jpg)
SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION
![](http://3.bp.blogspot.com/-8X94VZFilN0/Vat255KUEhI/AAAAAAAHqf0/g7jyEpnTghg/s640/001.KINYEREZI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CZJ_E29v_Sw/Vat24fOSuVI/AAAAAAAHqfs/3_PpPUr9jVg/s640/002.KINYEREZI.jpg)
10 years ago
GPLPOLISI WATUMIA MABOMU KUWATAWANYA MACHINGA WALIOANDAMANA JIJINI DAR LEO
Moto uliowashwa na machinga ukiwaka barabarani eneo la Kamata, Kariakoo jijini Dar leo. Gari la zimamoto likiwasili eneo la kamata kuzima moto uliowashwa na machinga.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GbDhwa2eghfKLapbElRaSuAelF4kexA17QMPA4nOPLr10Mb4xsmfvbk20yoQghPFqV-3y16oQAr2Li6rkKvKcP2/001.KINYEREZI.jpg?width=650)
SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION
Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Kinyerezi Tabata jijini Dar es Salaam, Judith Chalamila akiwaonesha moja ya kompyuta mpakato kati ya (24) wanafunzi wa kidato cha Nne baada ya kukabidhiwa msaada wa kompyuta hizo zilizotolewa naTaasisiyaVodacom Foundation.Mradi huo unaoendeshwa na Learning In Sync ni kwa ajili ya wanafunzi wa shule za sekondari kupata mafunzo ya masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo mashuleni. Wanafunzi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VKQ7SWoGfws/UxWA1cDxofI/AAAAAAAFQ_4/TkHMpYEH97A/s72-c/IMG-20140228-WA0013.jpg)
Taasisi ya Farida Foundation yawawezesha wanafunzi wenye mtindio wa ubongo shule ya msingi Tabata jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-VKQ7SWoGfws/UxWA1cDxofI/AAAAAAAFQ_4/TkHMpYEH97A/s1600/IMG-20140228-WA0013.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania