Taasisi ya Farida Foundation yawawezesha wanafunzi wenye mtindio wa ubongo shule ya msingi Tabata jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-VKQ7SWoGfws/UxWA1cDxofI/AAAAAAAFQ_4/TkHMpYEH97A/s72-c/IMG-20140228-WA0013.jpg)
Mwenyekiti wa Taasisi ya Farida Foundation,Bi. Farida Abdul Sekimonyo (wa pili kulia) akikabidhi sehemu ya vitabu kwa mmoja wa Mwanafunzi mwenye mtindio wa Ubongo wanaosoma Shule ya Msingi Tabata jijini Dar.Farida Foundation imetoa vifaa mbali mbali vya kusomea kwa watoto hao wenye mtindio wa Ubongo waliopo kwenye Shule hiyo.Taasisi hiyo ya Farida Foundation imekuwa ikisaidia Walemavu wa aina zote watoto, vijana na watu wazima waliopo Tanzania nzima mpaka sasa imeshasaidia walemavu zaidi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Maadhimisho ya siku ya watu na watoto wenye mtindio wa Ubongo kufanyika Oktoba 7, 2015 viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wazazi wa Watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, Akili na Viungo Tanzania (Chawaumavita), Hillar Said (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Watu, Watoto wenye mtindio wa ubongo yatakayofanyika, Oktoba 7, 2015 viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu wa chama hicho, Mwanahamisi Hussein.
Katibu wa chama hicho, Mwanahamisi Hussein (kulia), akizungumza...
9 years ago
VijimamboMAADHIMISHO YA SIKU YA WATU NA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO KUFANYIKA OKTOBA 7, 2015 VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I4e6A9A3c-Q/UzMBMouEjoI/AAAAAAAASoI/DaIDKOl31bk/s72-c/2014-03-22+14.39.44.jpg)
BENKI YA NIC ARUSHA YAWAKUMBUKA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO WA SHULE MAALUM YA DYMPHNA ILIYOPO SAKINA KWA IDD
![](http://1.bp.blogspot.com/-I4e6A9A3c-Q/UzMBMouEjoI/AAAAAAAASoI/DaIDKOl31bk/s1600/2014-03-22+14.39.44.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R7pISFCW4p0/UzMBPF6ukHI/AAAAAAAASoc/BGjWe6SNdeE/s1600/2014-03-22+14.42.37.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDSSA0v6SjQ/UzMBM3o8BHI/AAAAAAAASoM/DQ28ptHJd-E/s1600/2014-03-22+14.55.23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9q3AdrzHn60/UzMBQpud7-I/AAAAAAAASoo/Y2d6WwbGbj0/s1600/2014-03-22+14.58.25.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6Ro7dowVf-s/UzMBOrhK1cI/AAAAAAAASoY/dLZ94dcrKO4/s1600/2014-03-22+14.59.11.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8X94VZFilN0/Vat255KUEhI/AAAAAAAHqf0/g7jyEpnTghg/s72-c/001.KINYEREZI.jpg)
SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION
![](http://3.bp.blogspot.com/-8X94VZFilN0/Vat255KUEhI/AAAAAAAHqf0/g7jyEpnTghg/s640/001.KINYEREZI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CZJ_E29v_Sw/Vat24fOSuVI/AAAAAAAHqfs/3_PpPUr9jVg/s640/002.KINYEREZI.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GbDhwa2eghfKLapbElRaSuAelF4kexA17QMPA4nOPLr10Mb4xsmfvbk20yoQghPFqV-3y16oQAr2Li6rkKvKcP2/001.KINYEREZI.jpg?width=650)
SHULE YA SEKONDARI KINYEREZI TABATA JIJINI DAR YANUFAIKA NA KOMPYUTA 24 KUPITIA MRADI WA VODACOM FOUNDATION
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r4Jiq99KEfE/Va5hness1BI/AAAAAAAHq4c/vjaQcj3Smhk/s72-c/unnamed%2B%252898%2529.jpg)
SHULE YA MSINGI MLIMANI JIJINI DAR YAFAIDIKA NA MSAADA WA KOMPYUTA 20 TOKA VODACOM FOUNDATION
![](http://4.bp.blogspot.com/-r4Jiq99KEfE/Va5hness1BI/AAAAAAAHq4c/vjaQcj3Smhk/s640/unnamed%2B%252898%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jPjlnTj8S4k/Va5hneh6yEI/AAAAAAAHq4Y/tK0ha_gGYw8/s640/unnamed%2B%252899%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4XoSJR01ryMNS6tZg7QJUY74wi8xo-5ttSq5oQQnjfmGjgWX0ZF8BrR7UhqqlRypIBPbyDWfkKuezyWIY4Re1cO/001.MLIMANI.jpg?width=650)
SHULE YA MSINGI MLIMANI JIJINI DAR YAFAIDIKA NA MSAADA WA KOMPYUTA 20 TOKA VODACOM FOUNDATION
11 years ago
Dewji Blog19 Jul
TWB na TWA wafanya mafunzo kituo cha kinamama wenye Watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa Ubongo na Mgongo wazi Chawawaki Kigamboni
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) Bi. Margaret Chacha akizungumza na kikundi cha kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha kigamboni(Chawawaki), wakati ya mafunzo ya ujasiriamali na kuwaelimisha juu ya fursa zinazotolewa na benki ya TWB, Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Tanzania Women Of Achievement (TWA).
Mwenyekiti wa Tanzania Women Of Achievement(TWA) Bi.Sadaka Gandi akizungumza na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa...
11 years ago
MichuziTWA NA BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) WAFANYA MAFUNZO KITUO CHA KINAMAMA WENYE WATOTO WENYE UGONJWA WA MTINDIO WA UBONGO NA MGONGO WAZI CHAWAWAKI KIGAMBONI