TWA NA BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) WAFANYA MAFUNZO KITUO CHA KINAMAMA WENYE WATOTO WENYE UGONJWA WA MTINDIO WA UBONGO NA MGONGO WAZI CHAWAWAKI KIGAMBONI
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) Bi. Margaret Chacha akizungumza na kikundi cha kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha kigamboni(Chawawaki), wakati ya mafunzo ya ujasiriamali na kuwaelimisha juu ya fursa zinazotolewa na benki ya TWB, Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Tanzania Women Of Achievement(TWA)
Mwenyekiti wa Tanzania Women Of Achievement(TWA) Bi.Sadaka Gandi akizungumza na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog19 Jul
TWB na TWA wafanya mafunzo kituo cha kinamama wenye Watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa Ubongo na Mgongo wazi Chawawaki Kigamboni
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) Bi. Margaret Chacha akizungumza na kikundi cha kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha kigamboni(Chawawaki), wakati ya mafunzo ya ujasiriamali na kuwaelimisha juu ya fursa zinazotolewa na benki ya TWB, Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Tanzania Women Of Achievement (TWA).
Mwenyekiti wa Tanzania Women Of Achievement(TWA) Bi.Sadaka Gandi akizungumza na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa...
11 years ago
GPLTAASISI YA TWA YASHEHEREKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA KITUO CHA CHAWAWAKI MJI MWEMA KIGAMBONI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I4e6A9A3c-Q/UzMBMouEjoI/AAAAAAAASoI/DaIDKOl31bk/s72-c/2014-03-22+14.39.44.jpg)
BENKI YA NIC ARUSHA YAWAKUMBUKA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO WA SHULE MAALUM YA DYMPHNA ILIYOPO SAKINA KWA IDD
![](http://1.bp.blogspot.com/-I4e6A9A3c-Q/UzMBMouEjoI/AAAAAAAASoI/DaIDKOl31bk/s1600/2014-03-22+14.39.44.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R7pISFCW4p0/UzMBPF6ukHI/AAAAAAAASoc/BGjWe6SNdeE/s1600/2014-03-22+14.42.37.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDSSA0v6SjQ/UzMBM3o8BHI/AAAAAAAASoM/DQ28ptHJd-E/s1600/2014-03-22+14.55.23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9q3AdrzHn60/UzMBQpud7-I/AAAAAAAASoo/Y2d6WwbGbj0/s1600/2014-03-22+14.58.25.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6Ro7dowVf-s/UzMBOrhK1cI/AAAAAAAASoY/dLZ94dcrKO4/s1600/2014-03-22+14.59.11.jpg)
10 years ago
VijimamboHUDUMA YA UPASUAJI WA WATOTO WENYE UGONJWA WA KICHWA KUJAA MAJI NA MGONGO WAZI YAZINDULIWA RASMI KATIKA HOSPITARI YA RUFAA YA MKOA WA KAGERA
Na Faustine Ruta, Bukoba
Shirika lisilokuwa la serikali la Friends of Children with Cancer Tanzania (FOCC TZ) lazindua rasmi huduma ya upasuaji wa watoto wenye ugonjwa wa vichwa kujaa maji na mgongo wazi mkoani Kagera katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa ambapo jumla ya watoto arobaini wenye tatizo hilo wanatajiwa kufanyiwa upasuaji kuanzia Julai 25-26, 2015. Mkurugenzi wa shirika la FOCCTZ Bw. Walter Miya katika uzinduzi huo alisema kuwa baada ya kutoa matangazo kupitia redio za jamii mkoani...
10 years ago
Mwananchi03 Mar
Yataka moyo kufundisha watoto wenye mtindio wa ubongo
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Maadhimisho ya siku ya watu na watoto wenye mtindio wa Ubongo kufanyika Oktoba 7, 2015 viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wazazi wa Watoto wenye Ulemavu wa Mtindio wa Ubongo, Akili na Viungo Tanzania (Chawaumavita), Hillar Said (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Watu, Watoto wenye mtindio wa ubongo yatakayofanyika, Oktoba 7, 2015 viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu wa chama hicho, Mwanahamisi Hussein.
Katibu wa chama hicho, Mwanahamisi Hussein (kulia), akizungumza...
9 years ago
VijimamboMAADHIMISHO YA SIKU YA WATU NA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO KUFANYIKA OKTOBA 7, 2015 VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KSsRweH7OiY/VPVeW88-G-I/AAAAAAAC0z8/oyA1dyYHCp8/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yakarabati kituo cha watoto wenye ulemavu Morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-KSsRweH7OiY/VPVeW88-G-I/AAAAAAAC0z8/oyA1dyYHCp8/s1600/unnamed.jpg)
Na Mwandishi wetu, Morogoro
BENKI ya Exim Tanzania imefanya ukarabati wa majengo ya kituo cha watoto wenye ulemavu cha Amani kilichopo eneo la...