WASTARA APATA AJALI TENA
![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH0FyRWJSednuOCqWZQ0SOeJjSBsugwLo2b*dqPRpyes1lUTu-jckuhFXxYwqaPSoLSbwCFhy83p685TSwaQPFAh/6wastaa.jpg)
Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan MAJANGA! Siku chache baada ya hivi karibuni kudaiwa kunywa sumu, staa mkubwa wa sinema Bongo, Wastara Juma amepata tena ajali mbaya. Habari za uhakika zilizolifikia gazeti namba wani la burudani Bongo, Ijumaa Wikienda mwishoni mwa wiki iliyopita zilieleza kuwa siku ya tukio Wastara alitoka nyumbani kwake Tabata-Bima, Dar na gari lake aina ya Toyota Vitz kwa ajili ya kwenda kununua umeme....
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8b9WEPYSkGIm9m66oF8zvnhSSQmDjrz0Crq8CFqM6klxFB1-tGPzFuR0M8FKBB1uKU0kBRNVnqJAipjkTR3HqenagdAP8sxf/WASTARA.jpg)
WASTARA APATA AJALI TENA TABATA JIJINI DAR
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
Wastara Apata Dili Kufanya Kazi Nchini Marekani
Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma amepata shavu la kwenda kufanya kazi nchini marekani akiwa pamoja na mtengenezaji filamu mahiri kabisa hapa Bongo, Timoth Conrad Kachumia.
Japo kuwa hakutaka kueleza ni lini watakwenda nchini humo na kampuni iliyowapa chavu hilo, kupitia ukursasa wake mtandaoni alibandika baadhi ya picha akiwa na watu ambao ndio wame wapa dili hilo na kuandika;
“Ukipata nafasi ya kufanya kazi kimataifa usiichezee,,one mistake hundred goal............kosa la defense ni...
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Wastara ndoa tena!
Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma.
Na Waandishi Wetu
BAHATI ILIYOJE! Baada ya hivi karibuni mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kutimiza miaka mitatu kaburini, staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amefunguka kwamba anatarajia kuolewa tena kwani ameshapata chaguo sahihi.
Akizungumza na Risasi Mchanganyiko nyumbani kwao Tabata Barakuda jijini Dar, Wastara alisema wakati wa msiba wa mumewe aliweka nadhiri kwamba ataolewa baada ya miaka mitatu hivyo kwa sasa yuko tayari kuingia kwenye ndoa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-f1FOvouo8jfUbTVPuq2QZQHM8pre2wbE6vfys3HqH4Z8r0RzUCe6vnN*3nYp2NvAdGKrfbgCX8wb9Zmq5Osptc/Wastaraz.jpg?width=650)
WASTARA KUKATWA MGUU TENA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm00nW*NtwmXWufOOHAonedn-u0FqfmRVUYcAhQFrSEv-0ayvMSANQAdvRgbUUGHKC9vnTYWMf3tEXkrc1rssjf7/wastara6.gif?width=650)
WASTARA: NITAKUFA KWA AJALI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo6KdDmUP9P4fZavjOz9dxFE-s7OkIs357O-7Mm*Zi-XV55Mn4Mjn7HgBV7H6lBs6sIyr*8MefbmwvyqwMCBOe*K/1.gif?width=650)
WASTARA: NINA JINAMIZI LA AJALI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
EXCLUSIVE INTERVIEW: NITAKUFA KWA AJALI - WASTARA
10 years ago
Bongo Movies21 Apr
Hii ni Ajali ya 9 kwa Wastara, Aelezea Jinsi Ilivyotokea
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma jumapili usiku amepata ajali ya gari maeneo ya Tabata Magengeni akitokea Mwananyamala alipokuwa anaongea na wasanii wenzake.
Wastara anasema siku hiyo gari yake aina ya toyota canal alikua anaendesha meneja wake Bond Bin Sinnan na walipofika maeneo ya Tabata magengeni gafla alishangaa gari Bond anafunga ‘breki’ na gari likaanza kuzunguka na yeye kujigonga gonga kwenye gari kwaku hakufunga mkanda.
"Mimi nilikua sielewi kitu niliona tu gari linazunguka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT2ovwHS5gHT6Z0IHBwkeOkNXC6a9TfkgWouYIMjd2Y7DoTfoFfYNnYkQlB-DW7AhikH9cV*6VVQwaJn4h9vyh87/Benz.jpg)
CHID BENZ APATA MAJANGA TENA!