WASTARA: NITAKUFA KWA AJALI
Stori:Â Waandishi Wetu MASKINI! Staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amezungumzia jinsi jinamizi la ajali linavyoweza kumsababishia kifo kwani ana msururu mrefu wa matukio hayo, Amani lina mzigo kamili. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma . Katika mahojiano maalum na gazeti hili yaliyodumu kwa takriban saa mbili kwenye Ofisi za Global Publishers zilizopo Bamaga-Mwenge jijini Dar hivi karibuni, Wastara alisema...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLEXCLUSIVE INTERVIEW: NITAKUFA KWA AJALI - WASTARA
10 years ago
Bongo Movies21 Apr
Hii ni Ajali ya 9 kwa Wastara, Aelezea Jinsi Ilivyotokea
Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma jumapili usiku amepata ajali ya gari maeneo ya Tabata Magengeni akitokea Mwananyamala alipokuwa anaongea na wasanii wenzake.
Wastara anasema siku hiyo gari yake aina ya toyota canal alikua anaendesha meneja wake Bond Bin Sinnan na walipofika maeneo ya Tabata magengeni gafla alishangaa gari Bond anafunga ‘breki’ na gari likaanza kuzunguka na yeye kujigonga gonga kwenye gari kwaku hakufunga mkanda.
"Mimi nilikua sielewi kitu niliona tu gari linazunguka...
10 years ago
Bongo Movies21 May
Dude, Mtitu Nitakufa kwa Mipango ya Mungu-Steve Nyerere
Naomba kumshukulu mungu kwa kila jambo yehova wewe ndio kimbilio langu. Pili kwa masikitiko makubwa nasema watashindana ila awata shinda .niongee kidogo kwa kifupi mara kwa mara nimekuwa nazalilishwa na najiuliza tatizo nini nagundua nyota .
Maishani kila binadamu mungu kampa fulsa yake so ukubali ukatae ndio hivo. Nilipigiwa simu na Mrs Adam kuambiana yani mke wa marehemu kama rafiki ndugu na msanii mwenzake kuwa anajenga kaburi la marehemu Kuambiana.
Nikajiuliza, kwa nini ajenge yeye...
10 years ago
GPLWASTARA: NINA JINAMIZI LA AJALI!
11 years ago
GPLWASTARA APATA AJALI TENA
10 years ago
GPLWASTARA APATA AJALI TENA TABATA JIJINI DAR
11 years ago
GPLCATHY: NITAKUFA NAIGIZA
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Papa Francis: Nitakufa baada ya miaka miwili au mitatu
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Jifunze Hili Kutoaka kwa Wastara
Kuna maisha flani hivi ayatakiwi kulazimishwa ukiona unaishi life style side A ikakukataa geuza side B coz ukipanga yako mungu anapanga yake na kuna miungu watu wanakupangia wao maisha ya kuishi namshukuru mungu na wazazi wangu walionileta duniani kiumbe mimi mbishi na mwenye akili za kujitosheleza nisiyekubali kushindwa na jambo wala kukatishwa tamaa na mtu au watu fulan ninachojua ni kusonga mbele tu na kubadili side mpka herufi ziishe......
By Wastara