Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CATHY: NITAKUFA NAIGIZA

Stori:Andrew Carlos MKONGWE wa filamu kutoka Bongowood, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa hataacha kuigiza mpaka siku anaingia kaburini. Mkongwe wa filamu kutoka Bongowood, Sabrina Rupia ‘Cathy’  Akipiga stori mbilitatu na mwandishi wetu, Cathy ambaye aliyetamba na Tamthiliya ya Simu ya Mkononi alimshukuru mumewe kwa kumpa sapoti mpaka alipofikia. “Kwenye filamu imeanza kuigiza toka sini...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WASTARA: NITAKUFA KWA AJALI

Stori:  Waandishi Wetu
MASKINI! Staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amezungumzia jinsi jinamizi la ajali linavyoweza kumsababishia kifo kwani ana msururu mrefu wa matukio hayo, Amani lina mzigo kamili. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma . Katika mahojiano maalum na gazeti hili yaliyodumu kwa takriban saa mbili kwenye Ofisi za Global Publishers zilizopo Bamaga-Mwenge jijini Dar hivi karibuni, Wastara alisema...

 

11 years ago

GPL

EXCLUSIVE INTERVIEW: NITAKUFA KWA AJALI - WASTARA

Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma Issa akifunguka jinsi jinamizi la ajali linavyoweza kumsababishia kifo kwani ana msururu mrefu wa matukio hayo. Aliyaongea hayo alipofanya Exclusive Interview na wanahabari wa GPL. UNGANA…

 

10 years ago

Mwananchi

Papa Francis: Nitakufa baada ya miaka miwili au mitatu

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis kwa mara ya kwanza ametabiri hatima ya maisha yake duniani akisema kuwa anaamini Mungu anaweza kumpa muda wa miaka miwili au mitatu ya kuishi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude, Mtitu Nitakufa kwa Mipango ya Mungu-Steve Nyerere

Naomba kumshukulu mungu kwa kila jambo yehova wewe ndio kimbilio langu. Pili kwa masikitiko makubwa nasema watashindana ila awata shinda .niongee kidogo kwa kifupi mara kwa mara nimekuwa nazalilishwa na najiuliza tatizo nini nagundua nyota .

Maishani kila binadamu mungu kampa fulsa yake so ukubali ukatae ndio hivo. Nilipigiwa simu na Mrs Adam kuambiana yani mke wa marehemu kama rafiki ndugu na msanii mwenzake kuwa anajenga kaburi la marehemu Kuambiana.

Nikajiuliza, kwa nini ajenge yeye...

 

11 years ago

GPL

NDOA YA CATHY YACHOKONELEWA

Na Imelda Mtema
MKONGWE Bongo Movies, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa kuna mwanamke ambaye anaichokonoa ndoa yake kwa nia ya kuivunja. Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na mwandishi wetu, Cathy alisema amechunguza na kugundua kuna mwanamke ambaye anatuma meseji kwa mumewe na kwake kwa lengo la kuwagombanisha. “Anatumia kila njia kuisambaratisha ndoa yangu, anajisumbua, najua ni mwanamke...

 

10 years ago

GPL

CATHY ATESWA NA UPWEKE!

IMELDA MTEMA MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo,  Sabrina Rupia ‘Cathy’ amesema kuwa kwa sasa yupo katika kipindi kigumu cha upweke kutokana na mume wake kuhamishiwa Kisiwani Unguja kikazi. MSANII mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo,  Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na mwandishi wetu, Cathy alisema kuwa hakuna kitu kigumu na kinachomtesa kama kutenganishwa na mtu ambaye anampenda...

 

11 years ago

GPL

MAWIFI WAMKERA CATHY

Stori: Gladness Mallya MSANII mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa anakerwa na tabia za mawifi kuwachukia wake za kaka zao bila sababu za msingi. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ Akichonga na paparazi wetu, Cathy alisema mawifi wengi huwachukia na kuwawekea vinyongo wake wa kaka zao hata kama hawajawakosea, kitu ambacho kinamkera na anaamini siyo yeye peke...

 

11 years ago

GPL

CATHY: NILIJITEGEMEA KABLA SIJAKOMAA!

KAMA kawa kama dawa, ndani ya Exclusive Interview leo tupo naye muigizaji mkongwe wa sinema za Kibongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ ambaye alianza sanaa tangu enzi za makundi hadi zilipofika zama za kurekodi sinema. Muigizaji mkongwe wa sinema za Kibongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ Alifanikiwa kuanza kutengeneza jina lake katika Kundi la Mambo Hayo na baadaye Kaole. Hapa chini amezungumza vitu vingi na mwandishi...

 

11 years ago

GPL

CATHY: KUSHINDANIA MAGARI NI USHAMBA

NA IMELDA MTEMA MKONGWE katika sanaa, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewapa makavu wasanii wenzake ambao kila kukicha wanasifika kwa kushindana kununua magari mapya. Mkongwe katika sanaa ya maigizo, Subrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumzia malengo yake mbele ya kinasa sauti cha Amani, Cathy alisema yeye siku zote anaamini zaidi katika kuwekeza kwenye ujenzi wa nyumba na si magari kama wasanii wengi wanavyoendekeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani