Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EXCLUSIVE INTERVIEW: NITAKUFA KWA AJALI - WASTARA

Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma Issa akifunguka jinsi jinamizi la ajali linavyoweza kumsababishia kifo kwani ana msururu mrefu wa matukio hayo. Aliyaongea hayo alipofanya Exclusive Interview na wanahabari wa GPL. UNGANA…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WASTARA: NITAKUFA KWA AJALI

Stori:  Waandishi Wetu
MASKINI! Staa mkubwa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amezungumzia jinsi jinamizi la ajali linavyoweza kumsababishia kifo kwani ana msururu mrefu wa matukio hayo, Amani lina mzigo kamili. Staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma . Katika mahojiano maalum na gazeti hili yaliyodumu kwa takriban saa mbili kwenye Ofisi za Global Publishers zilizopo Bamaga-Mwenge jijini Dar hivi karibuni, Wastara alisema...

 

11 years ago

GPL

EXCLUSIVE INTERVIEW: BATULIAHOFIA KUPORWA BWANA

Makala: Shakoor Jongo na Joseph Shaluwa
NI nadra sana kumkuta akiwa amenuna. Sura yake mara zote ni yenye tabasamu, uso wake una nuru na ang’avu wakati wote. Macho yake ni kivutio kingine kwa mrembo huyu. Weka yote pembeni, kutana naye akiwa nyuma ya kamera utamkoma! Maneno ya kuanisha sifa zake ni mengi. Yobnesh Yusuph'Batuli'. Naweza kuandika ukurasa mzima, lakini hayo yatoshe kueleza ubora wa mwananadada huyu katika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hii ni Ajali ya 9 kwa Wastara, Aelezea Jinsi Ilivyotokea

Staa wa Bongo Movies, Wastara Juma jumapili usiku amepata ajali ya gari maeneo ya Tabata Magengeni akitokea Mwananyamala alipokuwa anaongea na wasanii wenzake.

Wastara anasema siku hiyo gari yake aina ya toyota canal alikua anaendesha meneja wake Bond Bin Sinnan na walipofika maeneo ya Tabata magengeni gafla alishangaa gari Bond anafunga ‘breki’ na gari likaanza kuzunguka na yeye kujigonga gonga kwenye gari kwaku hakufunga mkanda.

"Mimi nilikua sielewi kitu niliona tu gari linazunguka...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Exclusive Interview with O’neal (BBA The Chase)

Botswana’s Big Brother Africa 2013 representative, O’neal was in Dar es Salaam, Tanzania recently for a Samsung event. He also had a chance to talk to us about his career as professional DJ, Africa Music, his relationship with Feza, Big Brother Africa and many more. Watch the interview below.

 

10 years ago

GPL

ERIC SHIGONGO IN AN EXCLUSIVE INTERVIEW WITH PAUL NDIHO FROM VOA

The Managing Director of Global Publishers Ltd, Eric Shigongo in an Exclusive Interview with the Video Producer & Journalist from VOA, Paul Ndiho at Global TV Online.

 

11 years ago

Michuzi

EXCLUSIVE INTERVIEW: BRAZIL TO HOST WORLD CUP AGAIN AFTER 64 YEARS!

Brazil is calling! Don’t miss the World Cup and Copacabana beach ! On Wednesday last week, MOblog hosted an exclusive Q and A interview with the Brazilian Ambassador to Tanzania, Hon. Francisco Luz, ahead of the upcoming World Cup Tournament. Read On; DSC_0076 MOblog Tanzania’s Chief Editor, Damas Makangale in an exclusive interview with the Brazilian Ambassador to Tanzania, Hon Francisco Carlos Soares Luz at his office. By Damas Makangale, MOblog Tanzania MOblog: What was your initial reaction...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani