CATHY: KUSHINDANIA MAGARI NI USHAMBA
![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL2v*4rrUUx7LkijJK1hyKvdHeG-Vocp3Jqi7L9V0g6Hk7-FvSBlz07TCOx4l*ynuL8BA2E3yehoeNzEKsWsKJu5/cathy.jpg?width=650)
NA IMELDA MTEMA MKONGWE katika sanaa, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewapa makavu wasanii wenzake ambao kila kukicha wanasifika kwa kushindana kununua magari mapya. Mkongwe katika sanaa ya maigizo, Subrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumzia malengo yake mbele ya kinasa sauti cha Amani, Cathy alisema yeye siku zote anaamini zaidi katika kuwekeza kwenye ujenzi wa nyumba na si magari kama wasanii wengi wanavyoendekeza...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PimHyVIfXWM/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUndHX1bVzbxcV6zqGh-lMkE20yQqcy90qQTfMUBWNtGTzQEn6hwpivUVzZyxAWYulkYYCG9lDSsEOpCEiCx6ohc/CHEKANAKITIME.jpg)
USHAMBA NI USHAMBA TU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkwkXsQHv9DLHtsgxfp0UVwkKR6SeFNP4ZocYYilBCfg86zJiJaJ2*GMYWAezkcfnZ59y2r79UgMjpx8mv4kMJmn/BARUANZITO.jpg)
CHID NI USHAMBA AU JELA INAKUITA?
10 years ago
Vijimambo17 Apr
Kumuimba Msichana Uliyeachana Naye ni Ushamba
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/WEMA_SEPETU0912.jpg)
Staa Mrembo Kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’, amesema ni ushamba kwa wasanii wa muziki kuwatungia nyimbo za majungu wasichana wanaoachana nao kimapenzi.Wema amesema wasanii wengi wa muziki wamekuwa na tabia ya kishamba ya kutunga nyimbo zenye maneno ya kuudhi, wakiwalenga waliokuwa wapenzi wao.“Ni ushamba wa mapenzi, haiwezekani mlikuwa mnafurahia wote mapenzi yenu, lakini mkiachana anakutungia nyimbo za kukuponda, hakuna neno la kuzungumzia hilo zaidi ya kuita ushamba kwa wasanii wa...
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wafungwa wa Malawi kushindania tuzo kuu duniani
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Wema: Kumuimba msichana uliyeachana naye ni ushamba
NA RHOBI CHACHA
STAA wa filamu za kibongo, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’, amesema ni ushamba kwa wasanii wa muziki kuwatungia nyimbo za majungu wasichana wanaoachana nao kimapenzi.
Wema amesema wasanii wengi wa muziki wamekuwa na tabia ya kishamba ya kutunga nyimbo zenye maneno ya kuudhi, wakiwalenga waliokuwa wapenzi wao.
“Ni ushamba wa mapenzi, haiwezekani mlikuwa mnafurahia wote mapenzi yenu, lakini mkiachana anakutungia nyimbo za kukuponda, hakuna neno la kuzungumzia hilo zaidi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH3yt-bwxjSjM*1MQyjWrRhOZa6C3jW1UVtFmUa9SV6WGnjwxFWZyWF1ETRjwmZAAjpw2k*reDMTA97bybvahBU5/MAMAWEMA.jpg?width=650)
JOHARI, CHUCHU HUU KAMA SIYO USHAMBA NI NINI?
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Yaya Toure kushindania tuzo kuu ya soka duniani
10 years ago
MichuziWateja wa Bayport watakaokopa kwa njia ya mtandao online kushindania Milioni 1
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport, Ngula...