Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wema: Kumuimba msichana uliyeachana naye ni ushamba

wemaNA RHOBI CHACHA
STAA wa filamu za kibongo, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’, amesema ni ushamba kwa wasanii wa muziki kuwatungia nyimbo za majungu wasichana wanaoachana nao kimapenzi.
Wema amesema wasanii wengi wa muziki wamekuwa na tabia ya kishamba ya kutunga nyimbo zenye maneno ya kuudhi, wakiwalenga waliokuwa wapenzi wao.
“Ni ushamba wa mapenzi, haiwezekani mlikuwa mnafurahia wote mapenzi yenu, lakini mkiachana anakutungia nyimbo za kukuponda, hakuna neno la kuzungumzia hilo zaidi ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kumuimba Msichana Uliyeachana Naye ni Ushamba



Staa Mrembo Kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’, amesema ni ushamba kwa wasanii wa muziki kuwatungia nyimbo za majungu wasichana wanaoachana nao kimapenzi.Wema amesema wasanii wengi wa muziki wamekuwa na tabia ya kishamba ya kutunga nyimbo zenye maneno ya kuudhi, wakiwalenga waliokuwa wapenzi wao.“Ni ushamba wa mapenzi, haiwezekani mlikuwa mnafurahia wote mapenzi yenu, lakini mkiachana anakutungia nyimbo za kukuponda, hakuna neno la kuzungumzia hilo zaidi ya kuita ushamba kwa wasanii wa...

 

10 years ago

Vijimambo

SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA


KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na mapenzi ya vipindi, kuna wakati waliwahi kumwagana kisha kurudiana na hakuna aliyewahi kutoa tamko zito lakini safari hii...

 

9 years ago

GPL

WEMA AMTAJA MWANAUME ATAKAYEZAA NAYE

Imelda Mtema BAADA ya kupita ukimya mrefu bila kuzungumzia mapenzi, mrembo asiyepoteza ubora wake, Wema Sepetu ‘Madam’ amemtaja mwanaume anayetarajia kumzalia mtoto kuwa ni Luis Munana, raia wa Namibia. Mrembo asiyepoteza ubora wake, Wema Sepetu ‘Madam’ . Wema alifunguka hayo juzikati mara baada ya mwandishi wetu kutaka kujua ana mpango gani kwenye ulimwengu wa ‘malovee’ ndipo alipomwanika Luis kuwa ndiye mwanaume...

 

10 years ago

GPL

WEMA:STAA YEYOTE NAWEZA KUTOKA NAYE

Mwadada anayefanya poa sana kwenye tasnia ya Bongo Movies, Wema Sepetu. Makala - Bongo
Saphyna Mlawa
KATIKA orodha ya wanadada wanaofanya poa sana kwenye tasnia ya Bongo Movies, hata siku moja huwezi ukaacha kutaja jina la Malkia, Wema Sepetu ambaye alijipatia umaarufu kutokana na kazi nzuri tangu pale alipofanya muvi ya kwanza ‘The Point of No Return’ aliyoshilikishwa na marehemu Steven Kanumba na nyingine...

 

10 years ago

GPL

USHAMBA NI USHAMBA TU!

Haya ngoja niseme najua wataanza kunifuata na mawe wanikong’ote lakini nasema  na kuanzia kesho navaa helmet hata kwenye daladala, mawe yao hayawezi kunidhuru. Kuna ishu inanichekeshaga sana, utaona mtu anaiga mambo anayafanya kusudi aonekane naye kaendelea kama wazungu, kumbe kwa wenye akili kama mimi tunajua ushamba unawasumbua.
Sasa ushamba ni nini? Ushamba mambo mengi, kushangaa jambo ambalo wenzio wanaliona la...

 

11 years ago

GPL

CHID NI USHAMBA AU JELA INAKUITA?

Rashid Makwilo ‘Chid Benz’. KWAKO,
Rashid Makwilo ‘Chid Benz’. Naamini utakuwa mzima wa afya njema, kama ndivyo unajisikiaje ukiwa mzima wakati kuna wenzako wanalia na afya zao si nzuri kwa sababu yako?
Lengo la kukuandikia barua hii ni kukuweka sawa ingawa nakumbuka mara kadhaa, waandishi mbalimbali wenye nia njema na wewe waliwahi kuandika makala za kukuweka sawa. Matukio yako ya kupiga watu kila...

 

11 years ago

GPL

CATHY: KUSHINDANIA MAGARI NI USHAMBA

NA IMELDA MTEMA MKONGWE katika sanaa, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewapa makavu wasanii wenzake ambao kila kukicha wanasifika kwa kushindana kununua magari mapya. Mkongwe katika sanaa ya maigizo, Subrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumzia malengo yake mbele ya kinasa sauti cha Amani, Cathy alisema yeye siku zote anaamini zaidi katika kuwekeza kwenye ujenzi wa nyumba na si magari kama wasanii wengi wanavyoendekeza...

 

10 years ago

GPL

JOHARI, CHUCHU HUU KAMA SIYO USHAMBA NI NINI?

NINAMFAHAMU Blandina Changula maarufu kama Johari, tokea akiwa underground wa maigizo katika kikundi cha Kaole, kabla hajapata jina linalomfanya kuwa mmoja wa wakongwe katika filamu Tanzania. Wakati ule akichipukia, alikuwa mmoja kati ya chipukizi waliokuwa wanaonyesha wazi kwamba watakuja kuwa waigizaji wazuri. Anapatia sehemu nyingi katika sanaa, lakini utampenda zaidi Johari akiigiza sehemu inayohitaji majonzi, au mtu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani