Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEMA:STAA YEYOTE NAWEZA KUTOKA NAYE

Mwadada anayefanya poa sana kwenye tasnia ya Bongo Movies, Wema Sepetu. Makala - Bongo
Saphyna Mlawa
KATIKA orodha ya wanadada wanaofanya poa sana kwenye tasnia ya Bongo Movies, hata siku moja huwezi ukaacha kutaja jina la Malkia, Wema Sepetu ambaye alijipatia umaarufu kutokana na kazi nzuri tangu pale alipofanya muvi ya kwanza ‘The Point of No Return’ aliyoshilikishwa na marehemu Steven Kanumba na nyingine...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014: STAA WA JOHNNY... EEE! KUTOKA NIGERIA NAYE NDANI

Yemi Alade. IM looking for my Johnny
Where is my Johnny...
Johnny oooh
Do you know Johnny...question Kiitikio hicho ndiyo habari ya mjini kwa sasa na good news ni kwamba staa wa wimbo huo, Yemi Alade wa Nigeria anadondoka Bongo kwa mara ya kwanza kuungana na listi ndefu ya wasanii wa nyumbani kulipamba Tamasha la Usiku wa Matumaini, Agosti 8, mwaka huu… ...

 

10 years ago

Vijimambo

SUPER STAR DIAMOND AFUNGUKA LIVE: BORA NIFE KULIKO KUMRUDIA WEMA, WEMA NAYE AJIBU MASHAMBULIZI ILE MBAYA


KIAPO! Kuonesha kwamba hana mpango wa kurudi nyuma, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ amefungukia msimamo wake juu ya mwandani wake wa zamani, Wema Sepetu ‘Madam’ kwa kusema kuwa kamwe hawezi kumrudia tena, Risasi Jumamosi lina mkanda kamili.Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.Licha ya Diamond kufunguka hayo, wawili hao wamekuwa na mapenzi ya vipindi, kuna wakati waliwahi kumwagana kisha kurudiana na hakuna aliyewahi kutoa tamko zito lakini safari hii...

 

9 years ago

Bongo5

‘Wema Sepetu na Lulu wanaweza kufanya vizuri Hollywood’ asema staa mkubwa wa filamu

wema lulu

Staa wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon amesema Wema Sepetu na Elizabeth ‘Lulu’ Michael wanaweza kufanya vizuri Hollywood.

wema lulu

Akiongea na Bongo5, Napoleon amesema uwezo wa waigizaji hao unaweza kutisha watu kama wakipewa muongozo mzuri.

“Tanzania tuna waigizaji wazuri wengi sana,” amesema. “Watu wengi wakiangalia bongo movie wanaona movie mbovu au vipi. Hilo sio suala la uigizaji, hayo yanakuwa ni mambo mengine ya production yanayofanya filamu iwe mbovu labda filamu imeharakishwa...

 

9 years ago

GPL

WEMA AMTAJA MWANAUME ATAKAYEZAA NAYE

Imelda Mtema BAADA ya kupita ukimya mrefu bila kuzungumzia mapenzi, mrembo asiyepoteza ubora wake, Wema Sepetu ‘Madam’ amemtaja mwanaume anayetarajia kumzalia mtoto kuwa ni Luis Munana, raia wa Namibia. Mrembo asiyepoteza ubora wake, Wema Sepetu ‘Madam’ . Wema alifunguka hayo juzikati mara baada ya mwandishi wetu kutaka kujua ana mpango gani kwenye ulimwengu wa ‘malovee’ ndipo alipomwanika Luis kuwa ndiye mwanaume...

 

10 years ago

Mtanzania

Wema: Kumuimba msichana uliyeachana naye ni ushamba

wemaNA RHOBI CHACHA
STAA wa filamu za kibongo, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’, amesema ni ushamba kwa wasanii wa muziki kuwatungia nyimbo za majungu wasichana wanaoachana nao kimapenzi.
Wema amesema wasanii wengi wa muziki wamekuwa na tabia ya kishamba ya kutunga nyimbo zenye maneno ya kuudhi, wakiwalenga waliokuwa wapenzi wao.
“Ni ushamba wa mapenzi, haiwezekani mlikuwa mnafurahia wote mapenzi yenu, lakini mkiachana anakutungia nyimbo za kukuponda, hakuna neno la kuzungumzia hilo zaidi ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Patcho Mwamba: Hakuna Staa wa Kike Ana Nyota Kama ya Wema Sepetu, Ila Dhambi Yake ni Moja...

Staa wa Bongo movies na mwanamziki wa Fm Academia Patcho Mwamba funguka kuwa staa mwennzake wa bongo movies, Wema Sepetu ana nyota kali zaidi ya mastaa wote wa kike wa hapa Bongo, Pacho ameyasema hayo akiwa anajibu swali aliloulizwa kwenye mahojiano maalumu na Bestizzo "Je unahisi Wema halitendei haki jina lake au kuna sehemu anakosea?"

''Kwanza tuseme ukweli wa Mungu hamna staa wa kike ana nyota kama ya Wema Sepetu, ni star ni star ni star ni star sana upande wa wanawake wote ndani ya bongo...

 

10 years ago

GPL

JOKATE: MAPENZI YA STAA KWA STAA MBONA POA TU!

Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Saphyna Mlawa, Dar es Salaam
ANAJULIKANA kwa jina la Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, alianza kupata umaarufu kupitia fani ya urembo lakini kwa sasa sauti yake kusikika kwenye Bongo Fleva na kazi zake za urembo ndizo zinamfanya asomeke kwenye vyombo vya habari. Mwanamuziki Ali Kiba. Jokate ambaye alitumia alama iliyopo kwenye uso wake kujipa jina la utani la Kidoti, amezungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani