Kumuimba Msichana Uliyeachana Naye ni Ushamba
Staa Mrembo Kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu ‘Madam’, amesema ni ushamba kwa wasanii wa muziki kuwatungia nyimbo za majungu wasichana wanaoachana nao kimapenzi.Wema amesema wasanii wengi wa muziki wamekuwa na tabia ya kishamba ya kutunga nyimbo zenye maneno ya kuudhi, wakiwalenga waliokuwa wapenzi wao.“Ni ushamba wa mapenzi, haiwezekani mlikuwa mnafurahia wote mapenzi yenu, lakini mkiachana anakutungia nyimbo za kukuponda, hakuna neno la kuzungumzia hilo zaidi ya kuita ushamba kwa wasanii wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Wema: Kumuimba msichana uliyeachana naye ni ushamba
NA RHOBI CHACHA
STAA wa filamu za kibongo, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’, amesema ni ushamba kwa wasanii wa muziki kuwatungia nyimbo za majungu wasichana wanaoachana nao kimapenzi.
Wema amesema wasanii wengi wa muziki wamekuwa na tabia ya kishamba ya kutunga nyimbo zenye maneno ya kuudhi, wakiwalenga waliokuwa wapenzi wao.
“Ni ushamba wa mapenzi, haiwezekani mlikuwa mnafurahia wote mapenzi yenu, lakini mkiachana anakutungia nyimbo za kukuponda, hakuna neno la kuzungumzia hilo zaidi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUndHX1bVzbxcV6zqGh-lMkE20yQqcy90qQTfMUBWNtGTzQEn6hwpivUVzZyxAWYulkYYCG9lDSsEOpCEiCx6ohc/CHEKANAKITIME.jpg)
USHAMBA NI USHAMBA TU!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkwkXsQHv9DLHtsgxfp0UVwkKR6SeFNP4ZocYYilBCfg86zJiJaJ2*GMYWAezkcfnZ59y2r79UgMjpx8mv4kMJmn/BARUANZITO.jpg)
CHID NI USHAMBA AU JELA INAKUITA?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4MXCALxsrL2v*4rrUUx7LkijJK1hyKvdHeG-Vocp3Jqi7L9V0g6Hk7-FvSBlz07TCOx4l*ynuL8BA2E3yehoeNzEKsWsKJu5/cathy.jpg?width=650)
CATHY: KUSHINDANIA MAGARI NI USHAMBA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH3yt-bwxjSjM*1MQyjWrRhOZa6C3jW1UVtFmUa9SV6WGnjwxFWZyWF1ETRjwmZAAjpw2k*reDMTA97bybvahBU5/MAMAWEMA.jpg?width=650)
JOHARI, CHUCHU HUU KAMA SIYO USHAMBA NI NINI?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoOTXQj7*AtWKrXqYXTywBlksVnYPz-IgqiCu1K1iR64I5n9*QEqxz4k1gJUNIQDeRF3a5Lfzly3S*b8EOZSYMeZH/mahaba.jpg?width=650)
UNAKUBALI MKEO AVAE NGUO ZA KUBANA, KITOVU NJE! USHAMBA ULIOJE?
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Msichana kutoka Syria ashitakiwa
11 years ago
Habarileo13 Mar
Msichana ajifungua gesti chooni
MKAZI wa kitongoji cha Sogea katika Mji mdogo wa Tunduma wilayani Momba, Pendo Lyala (18) amejifungua mtoto katika choo cha nyumba ya kulala wageni. Pendo alijifungua Machi 10 mwaka huu saa 4:00 katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Kiswahili , iliyopo nyuma ya Shule ya Msingi Mwaka, mkabala na barabara kuu iendayo Sumbawanga mkoani Rukwa.
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Msichana asimulia ya Boko Haram