Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msichana kutoka Syria ashitakiwa

Msichana wa kiholanzi aliyerejea kutoka Syria ambako alikwenda huko kujiunga na wapiganaji wa jihadi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mfahamu msichana anayedaiwa kwenda Syria

BBC ilitembelea Chuo alichosoma Salwa Amir

 

9 years ago

BBCSwahili

Thailand yahofia magaidi kutoka Syria

Polisi nchini Thailand wanachunguza ripoti kuwa wanamgambo kumi kutoka kundi la Islamic state wameingia nchini humo

 

9 years ago

Bongo5

Angelina Jolie na Brad Pitt kuasili mtoto wa 7 kutoka Syria

Couple ya waigizaji, Angelina Jolie na mumewe Brad Pitt wanatarajia kuongeza member mpya kwenye familia yao yenye watoto 6. Kwa mujibu wa Radar Online, couple hiyo inasemekana wanatarajia kuasili mtoto wa 7 kutoka Syria. Chanzo kimoja kimesema kuwa kwasasa wako kwenye taratibu za mwisho za kumuasili mtoto huyo yatima ambaye Jolie alikutana naye alipotembelea vituo […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

10 years ago

Mtanzania

Gwajima ashitakiwa

Asifiwe George na Evans Magege
HATIMAYE Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, ameshitakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa makosa mawili ya kutoa lugha ya matusi na uzembe wa kuhifadhi silaha yake.
Askofu Gwajima ameshitakiwa pamoja na wenzake watatu, waliotajwa mahakamani hapo kuwa ni Yekonia Behanaze, Jofrey Andrew na George Mzava.
Mbele ya Hakimu Mkazi Wilfred Dyansobera, wakili upande wa Serikali, Joseph Maugo, alidai kuwa Askofu Gwajima anakabiliwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Bosi UDA ashitakiwa bungeni

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika amemshitaki Mwenyekiti Mtendaji wa Simon Group inayoendesha Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), Robert Kisena kwa Spika wa Bunge, Anne Makinda, kutokana na kudai wabunge wa Dar es Salaam wamehongwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Adriano Leite Ribiero ashitakiwa

Mwanasoka wa zamani wa Brazil Adriano Leite Ribiero ameshitakiwa kwa kuwa na uhusiano na wauza madawa ya kulevya.

 

10 years ago

GPL

ALIYEMCHAPA ODINGA BAKORA ASHITAKIWA

Bwana Lengo Karisa Mudzomba (40) akiwachapa bakora Raila Odinga na Salim Mvurya. MWANAMUME aliyemshambulia kiongozi wa Cord, Raila Odinga na Gavana wa Jimbo la Kwale, Salim Mvurya ameshtakiwa juzi katika mahakama ya Kwale nchini Kenya. Mtuhumiwa Lengo Karisa Mudzomba. Bwana Lengo Karisa Mudzomba (40), alishtakiwa mbele ya Hakimu Mkuu Mkazi wa Kwale, Christine Njagi kwa kuwashambulia viongozi hao wawili na kuvuruga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani